directa
Senior Member
- Jan 27, 2017
- 102
- 150
Wana JF habarini.
Mimi ni kijana I am in my early 20's. Nataka kuwa na kampuni ya FILM PRODUCTION. To be honest sina mtaji mkubwa. Sina hata vifaa.
Kinacho nisukuma kufungua kampuni: (Tukiachana na kwamba ni passion yangu) nimehangaika sana kupata funds ili kufanya film yangu ya kwanza.
Nimeandika business plan kibao kushawishi investors lakini potential investor mmoja, akanambia "be legit first" ndio nikaanzia hapo kufikilia kuwa na Kampuni.
Naomba ushauri kwa watu wenye makampuni na mawakili wa tasnia ya burudani. Kwa situation yangu ya kutokua na vifaa na kuwa na mtaji mdogo (mtaji wa kusajilia na kutengeneza portfolio).
Kipi nifanye kipi nisifanye na je naweza kuisimamisha kampuni?
Mimi ni kijana I am in my early 20's. Nataka kuwa na kampuni ya FILM PRODUCTION. To be honest sina mtaji mkubwa. Sina hata vifaa.
Kinacho nisukuma kufungua kampuni: (Tukiachana na kwamba ni passion yangu) nimehangaika sana kupata funds ili kufanya film yangu ya kwanza.
Nimeandika business plan kibao kushawishi investors lakini potential investor mmoja, akanambia "be legit first" ndio nikaanzia hapo kufikilia kuwa na Kampuni.
Naomba ushauri kwa watu wenye makampuni na mawakili wa tasnia ya burudani. Kwa situation yangu ya kutokua na vifaa na kuwa na mtaji mdogo (mtaji wa kusajilia na kutengeneza portfolio).
Kipi nifanye kipi nisifanye na je naweza kuisimamisha kampuni?