Mwenye dawa au ushauri nitumie kitu gani niwe na ngozi laini isiwe nyeusi maana nilikuwa na chunusi
Kaoge maji ya maharageMwenye dawa au ushauri nitumie kitu gani niwe na ngozi laini isiwe nyeusi maana nilikuwa na chunusi
Badilishaneni ngoziDuh..wengine wanataka weupe wengine tunalilia weusi.....anyways nasikia director joan ndo mkali wao...mwone huyo
tupe mrejeshoMwenye dawa au ushauri nitumie kitu gani niwe na ngozi laini isiwe nyeusi maana nilikuwa na chunusi
Hiii haikufanyi kuwa mweupe...Mimi naitumiadera cream kwa director joan
ipi inakufanya kuwa mweupeHiii haikufanyi kuwa mweupe...Mimi naitumia