Adimu
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 655
- 284
Niko mbioni kuachana na mambo ya kuajiriwa, sasa naitaji kumiliki biashara zangu lakini cha kwanza naitaji kununua bajaji kwa mtu ili niendeshe mwenyewe kusafirisha abiria.
Nini changamoto na faida au hasara kwenye biashara hii?
Kwa wazoefu mnisaidie kujua haya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini changamoto na faida au hasara kwenye biashara hii?
Kwa wazoefu mnisaidie kujua haya!
Sent using Jamii Forums mobile app