Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,369
- 205,759
Sawa sawaHili nitalifanya pia mkuu
Sawa sawaHili nitalifanya pia mkuu
Mimi ni mtu wa kutoa feedback always. Nitafanya hivyo ngoja niingie sokoni.
Alafu nilikua nawaza kufungua na frem ndogo kabisa kwa ajili ya iyo issue.
Yaani clients wawe wanakuja ofisini alafu nawapelekea one way
Hili neno aisee.. Nitalifanyia kaziOfisi ni muhimu, ila isiwe idle, weka M-Pesa etc, weka stationery na kuwe na mtu anafanya kazi ili ukienda kitaa ofisi inabaki wazi. Na hapo ofisini ukiwa na printer baadhi ya picha unaziprint ili wateja wakija unawaonesha printouts ya kazi zilizo sokoni.
Kujitangaza kwenye mitandao ni rahisi kuwafikia wananchi
Haha.. Hapana... Haiwezekani.. Sina imani hizoFanya yooote lkn sayansi ya chungu muhimu, lazima uwe na dawa ya kuleta mvuto, nitafute kama upo serious! Nikupeleke sehemu ukaoge dawa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kivipi mkuuDalalia hadi wanawake mkuu
Sawa mkuu nitajitahid kuwa hivyoKama unataka kujulikana fanya kazi yako kwa uweledi mkubwa ... kuwa mwaminifu ... timiza majukumu yako kwa wakati bila shaka utapata matokeo mazuri