yajengee mfuniko imara,mwanga usipenye,yatakaa hadi mwaka
yajengee mfuniko imara,mwanga usipenye,yatakaa hadi mwaka
na mimi nasigiaga hii ndo dawa yake. Ila mkuu kusipokuwa hata na sehemu ya kupumulia si kisima chaweza pata nyufa kikavuja? sababu ya lile fukuto la shimoni?
Unaweza tumia water guard ipo na calcium hypochloride nadhan ni nzuri sana unaweka kila baada ya mwezi mmoja
Check kwenye bandiko kuna application rate za tofauti tofauti zipo kama unataka kwa ajili ya kusafishia swimming pool na mengineyo mkuuApplication yake ikoje maana kimo cha maji kina panda na kushuka kutegemea na wingi ama ukosefu wa mvua
Breather na overflow pipes ziwekee elbow....
Navuna maji ya mvua mwaka wa 3 Dawasco nawasikia tu...nikisikia wanauza maji sh 500 kwa ndoo nadhani matapeli.
Jaribu na utafurahia...
Breather na overflow pipes ziwekee elbow....
Navuna maji ya mvua mwaka wa 3 Dawasco nawasikia tu...nikisikia wanauza maji sh 500 kwa ndoo nadhani matapeli.
Jaribu na utafurahia...
Mkuu hongera, vipi unavunia kwenye kisima cha ukubwa gani mkuu, manake najaribu kupata picha kama Dawasco huwatumii kabisa!!
unatumia njia gani kufilter hayo maji?
kisima cha chini kinatunza 62500lts...nayapandisha kwenye Simtank 2@10000lts...nikijaza nakuwa na 82500lts
Wastani natumia 200 - 300lts kwa siku sawa na wastani wa siku 275.
Mvua zilizonyesha hapa kati zimejaza tayari, kwa hiyo tusipopata mvua kwa kipindi cha zaidi ya nusu mwaka bado sina hofu.
Kipindi cha mvua tunahakikisha Simtanks zimejaa kila siku ili kuruhusu kisima kipokee mzigo
kisima cha chini kinatunza 62500lts...nayapandisha kwenye Simtank 2@10000lts...nikijaza nakuwa na 82500lts
Wastani natumia 200 - 300lts kwa siku sawa na wastani wa siku 275.
Mvua zilizonyesha hapa kati zimejaza tayari, kwa hiyo tusipopata mvua kwa kipindi cha zaidi ya nusu mwaka bado sina hofu.
Kipindi cha mvua tunahakikisha Simtanks zimejaa kila siku ili kuruhusu kisima kipokee mzigo
Hii kitu ya kuvuna na kuhifadhi maji watu wengi hawaijui,au wanajua lakini wanapuuzia. Ninavuna maji ya mvua na kuhifadhi lita 50000. Kwa wastani familia huwa inatumia lita 150 kwa siku. Ukipiga mahesabu utaona ni muda gani sinunui maji wala dawasco hatusalimiani. Na hapo ikinyesha tena katikati,mambo yanakua murua zaidi!kisima cha chini kinatunza 62500ltss...nayapandisha kwenye Simtank 2@10000lts...nikijaza nakuwa na 82500lts
Wastani natumia 200 - 300lts kwa siku sawa na wastani wa siku 275.
Mvua zilizonyesha hapa kati zimejaza tayari, kwa hiyo tusipopata mvua kwa kipindi cha zaidi ya nusu mwaka bado sina hofu.
Kipindi cha mvua tunahakikisha Simtanks zimejaa kila siku ili kuruhusu kisima kipokee mzigo
Hii kitu ya kuvuna na kuhifadhi maji watu wengi hawaijui,au wanajua lakini wanapuuzia. Ninavuna maji ya mvua na kuhifadhi lita 50000. Kwa wastani familia huwa inatumia lita 150 kwa siku. Ukipiga mahesabu utaona ni muda gani sinunui maji wala dawasco hatusalimiani. Na hapo ikinyesha tena katikati,mambo yanakua murua zaidi!
kisima cha chini kinatunza 62500lts...nayapandisha kwenye Simtank 2@10000lts...nikijaza nakuwa na 82500lts
Wastani natumia 200 - 300lts kwa siku sawa na wastani wa siku 275.
Mvua zilizonyesha hapa kati zimejaza tayari, kwa hiyo tusipopata mvua kwa kipindi cha zaidi ya nusu mwaka bado sina hofu.
Kipindi cha mvua tunahakikisha Simtanks zimejaa kila siku ili kuruhusu kisima kipokee mzigo