kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Wakuu wakati tunasubiri krismas tujaribu kutafakari I chemsha bongo sisi magreat thinker Karibuni mabibi na mabwana
Kimoja Kimoja mkuuanza na mbuzi na majani vuka muache mbuzi rudi umebeba majani , mchukue chui na majini vuka mchezo umeisha
mchukue mbuzi mfunge darajani , chukua chui mvushe rudi chukua majani vusha mwisho mchue mbuzi mmalizie kumvushaKimoja Kimoja mkuu
Sina kama ya kufungiamchukue mbuzi mfunge darajani , chukua chui mvushe rudi chukua majani vusha mwisho mchue mbuzi mmalizie kumvusha
Mkuu umechanganya madesa hahaaAnza na Mbuzi mvushe hadi ng'ambo. Then beba Majani nenda nayo. Ukifika rudi na mbuzi acha Majani then beba chui nenda nae ukifika unarudi kumfata mbuzi wako. Hivyo tu
Mkuu Mbona mzunguko mrefu nirudi niende nirudi nae aaaahPeleka mbuzi kwanza. Halafu, peleka majani. Ukifika, rudi na mbuzi upande alipo chui. Mchukue chui mpeleke kwenye majani. Mwishoni, kamfuate mbuzi. Kwisha habari!
Mkuu umechanganya na unazunguka SanaPeleka mbuzi kwanza acha majani na chui! Ukirudi chukua chui peleka kule ila ukiwa unarudi rudi na mbuzi..
Kisha peleka majani then rudi peleka mbuzi..
Hili swali nakumbuka tulikuwa tunaulizana kipindi tuko darasa la Tatu..
Hakuna zaidi ya hivyo MkuuMkuu Mbona mzunguko mrefu nirudi niende nirudi nae aaaah
Tupe apa mkuu basHili swali niliulizwaga miaka ya 90 na nikapata, na bado niko kijana 25-35!!
Siwezi kurudi na mbuzi mara ya piliMchukue mbuzi ..mwache alafu chukua majani. .ukiyaacha mrudishe mbuzi..ondoka na chui. .mwache chui na majani. .baadae kamchukue mbuzi. .
Watanzania tulio wengi ni wavivu Sana Katika masualaya intellectual, think big mkuuHakuna zaidi ya hivyo Mkuu
Kama si hivyo, toa jibu. Usitusumbue!Siwezi kurudi na mbuzi mara ya pili
basi we hutaki tu huwezi tafuta kamba hapo bana ? basi mwache mbuzi na majani ayale upunguze mzigo.. mbuzi utamgeuza kitoeo , chui ngozi yake utauza upate hela .. majani miti ipo mingi relaxSina kama ya kufungia