Nenda mto ruvu..Apo Sawa nipeni mji wajomba zangu
Mwanangu wa damu,, ,,,mwanangu wa faida
Kwanza naona fisiem wengi mkuuMi nakupa mwanza
Kurudi na mbuzi tena mkuu Kuna mzunguko apo1.Anza na mbuzi & majani ukishavuka yaache majani rudi na mbuzi....(ukimuacha nyuma chui atamfanya kitoweo]
2.vuka na chui ukifika muache huko hawez kula majani
3.vuka na mbuzi...mchezo kwisha
Piga simu Maliasili wamchukuwe chui wao...au mfanzie kama Faru John.
Mmh!! Yeye sio muhamiaji haramu!!!Nenda mto ruvu..
duh!Sasa Hivi umekuwa mkubwa jalala
Jamani!! Mwanza ni mji mzuri umetulia.... basi nenda dar kwenu!!!Kwanza naona fisiem wengi mkuu
Hili ndio jibu. Amvushe mbuzi kwanza kwa sbb chui hali majaniAnza na Mbuzi mvushe hadi ng'ambo. Then beba Majani nenda nayo. Ukifika rudi na mbuzi acha Majani then beba chui nenda nae ukifika unarudi kumfata mbuzi wako. Hivyo tu
Hilo ndo jibu,hutapata jibu zaidi ya hilo hata ukitumia four figure. Vinginevyo toa jibu basi.Mkuu Mbona mzunguko mrefu nirudi niende nirudi nae aaaah
Umeelezea vizuri ila huyo fisi katokea majini au?Umekosea swali. . Na si majani tu, bali ni majani ya mbegu unatakiwa uyafikishe ukapande, kwa hiyo hakikisha unayalinda. Malizia kwamba mtumbwi wako unakubeba wewe na mzigo mmoja tu .Ukizidisha unazama.
Ambapo jibu lake ni hili.
Awamu ya kwanza, Nenda na mbuzi, muache huyo chui wako na majani.
Kamuache huyo mbuzi ng'ambo urudi tena. Safari hii uchukue, majani yako ya mbegu nenda nayo hadi ng'ambo aliko mbuzi.
Ukifikisha majani, yaweke majani umchukue mbuzi, urudi naye hadi aliko huyo chui wako.
Ukifika aliko chui, mwache mbuzi kule, beba fisi umpeleke ulioyaacha majani. Ukifika kule mwache fisi na majani.
Mara ya mwiso rudi kamchukue mbuzi wako mvushe, akaungane na chui wako, na majani yako ya mbegu, then endelea na safari.
Nipe zawadi.
Dawa ni kumla tu huyo mbuziMkuu Mbona mzunguko mrefu nirudi niende nirudi nae aaaah
Umeelezea vizuri ila huyo fisi katokea majini au?
chukua pipi jojo