ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
Kwa kweli. ..Kama si hivyo, toa jibu. Usitusumbue!
Kwa kweli. ..Kama si hivyo, toa jibu. Usitusumbue!
Hahahahabasi we hutaki tu huwezi tafuta kamba hapo bana ? basi mwache mbuzi na majani ayale upunguze mzigo.. mbuzi utamgeuza kitoeo , chui ngozi yake utauza upate hela .. majani miti ipo mingi relax
Nisikusumbue na nani? Kila mtu atabeba msalaba wakeKama si hivyo, toa jibu. Usitusumbue!
anatusumbua wakati maisha ni kurahisishaHahahaha
Nimeghairi, kwanza hawezi kuna karibu na chui. Atapata wapi ujasiri wa kuwa na nyara za Serikali na tena nyara inayomchukia binaadamu. Anamjua chui au anahadithiwa tu?basi we hutaki tu huwezi tafuta kamba hapo bana ? basi mwache mbuzi na majani ayale upunguze mzigo.. mbuzi utamgeuza kitoeo , chui ngozi yake utauza upate hela .. majani miti ipo mingi relax
atakuwa anamsoma kwenye vitabu .. basi ajichanganye chui amle yeye ili asiumize kichwaNimeghairi, kwanza hawezi kuna karibu na chui. Atapata wapi ujasiri wa kuwa na nyara za Serikali na tena nyara inayomchukia binaadamu. Anamjua chui au anahadithiwa tu?
Hili swali niliulizwaga miaka ya 90 na nikapata, nilikuwa dogo sana!!
Ndipo hadithi hii itakapoishiaatakuwa anamsoma kwenye vitabu .. basi ajichanganye chui amle yeye ili asiumize kichwa
Majibu waliotoa E mselewa na The bold ni sawa na ndio tunayoyajua basi kama vipi tukupe mji utupe jibuMkuu Mbona mzunguko mrefu nirudi niende nirudi nae aaaah
na siafu watamla yeyeNdipo hadithi hii itakapoishia
Hakikana siafu watamla yeye
anza na mbuzi na majani vuka muache mbuzi rudi umebeba majani , mchukue chui na majini vuka mchezo umeisha
Wakuu wakati tunasubiri krismas tujaribu kutafakari I chemsha bongo sisi magreat thinker Karibuni mabibi na mabwana
Apo Sawa nipeni mji wajomba zanguMajibu waliotoa E mselewa na The bold ni sawa na ndio tunayoyajua basi kama vipi tukupe mji utupe jibu
chukua pipi jojoUmekosea swali. . Na si majani tu, bali ni majani ya mbegu unatakiwa uyafikishe ukapande, kwa hiyo hakikisha unayalinda. Malizia kwamba mtumbwi wako unakubeba wewe na mzigo mmoja tu .Ukizidisha unazama.
Ambapo jibu lake ni hili.
Awamu ya kwanza, Nenda na mbuzi, muache huyo fisi wako na majani. ( sijui ni wa nini kama siyo wanga),
Kamuache huyo mbuzi ng'ambo urudi tena. Safari hii uchukue, majani yako ya mbegu nenda nayo hadi ng'ambo aliko mbuzi.
Ukifikisha majani, yaweke majani umchukue mbuzi, urudi naye hadi aliko huyo fisi wako.
Ukifika aliko fisi, mwache mbuzi kule, beba fisi umpeleke ulioyaacha majani. Ukifika kule mwache fisi na majani.
Mara ya mwiso rudi kamchukue mbuzi wako mvushe, akaungane na fisi wako, na majani yako ya mbegu, then endelea na safari.
Nipe zawadi.
mwanangu wa faidaSasa Hivi umekuwa mkubwa jalala
Mi nakupa mwanzaApo Sawa nipeni mji wajomba zangu