Urefu mita ngapi na upana mita ngapi. Maana hizo square meter kingine unakuta upana chembamba sana! Alafu weka bei. Pia picha ni muhimu kuonesha majirani wamejenga nyumba za aina gani na kinaingilika kivipi kama kuna barabars au uchochoro wa uswahilini. Pia weka namba ya simu! Kila la kheri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.