Nataka kutumia 500k kwenye betting

IMG_8503.JPG
IMG_8504.JPG
IMG_8505.JPG
vip jmn hapoo
 
mi nimemshauri bets za jackports mana unaliwa kidogo ukiwa na ndoto za pesa ndefu. mf. betpawa utafukuzia mil 200 au bonuses za chin ya hapo za mil20, mil3, lak 8, kwa sh 100 kila bet au mkeka 1 wa mech 17. au mil 10 kwa bet ya mechi 13 kila mkeka. au unafukuzia mil 150 au bonuses ukikosea kdogo mech 3 chin ya hizo 13, kwa bet ya sh 1000 mechi 13 kupitia m bet. Au sportpesa unafukuzia sh mil 780 kwa mkeka wa mech 13 na bonuses km umekosea mech 3 kupiga zote. hapa kila et 1 ni sh 2000. HII HALI INATIA MATUMAINI YA KUKWAMUKA KIMAISHA HATA UKIKOSA KULIKO MNAVYODHANIA. NI SAWA NA KUWA UNADAI KUMBE MDAIWA HANA MPANGO WA KUKULIPA.
sikubaliani na wewe kama hukuwahi kufanikwa kwa njia hii unayomueleza mwana , probability ya kubadili namba ni uzwazwa haina tofauti na tatu mzuka ,unabadilisha badiliaha namba ili ubahatishe kula.hii sio betting stratage mkuu
 
500,000 ×20odds ndio upate milioni kumi 10
Cheza perfect combo
Unganisha option mfano ashinde na 3+
Au score both halfs
Au more goals second halfs
Au chagua range ya magoli 2-4, 1-3 n.k
Goli la kwanza lipatikane kuanzi dakika ngapi ina odds.
parimatch wako poa au galsport.

Ila dont be greedy mzee. Kama 500k kwa mil10 nikucheza kamari kiroho mbaya akati yupo anayestake 10mil anapata 10mil yaani 2odds.
Gambling is a fast rich scheme pia, people becomes rich also.

Nimewapenda hao galsport
 
Wale wazee wa kubet nipeni ushaur hapa nataka kutumia 500k kwenye betting weeknd hii lengo nipige 10m najua inawezekana, Je ni betting( campun nzuri kwa kubetia??) na nitumie option zipi ambazo zinatoa kirahisiii

Weekend hii muhindi lazima aliwe!!
Link ya lile group letu la ushindi

 
Naomba kujuzwa na kampuni gani unaweza kuweka mkeka Wa timu 10 then ukawa ushapatia timu kama 8 na ukataka hizo mbili zilizobaki uzikate upewe hela ya hizo 8 tu. Ntashukuru wakubwa
 
Back
Top Bottom