Bongo saund jomba...hakuna chuo cha urubani. The nearest u can go ni Kenya...au Uganda-Soroti kama bado hakijawa gofu, maana kile kilikuwa mali ya EAC ya enzi hizo za Mwalimu.
Kama ulivyogusiwa na mdau hapo juu, hakikisha baba yako ni Fisadi, maana mazoezi yote ya field (guided na solo) ni lazima yalipiwe ili wese la ndege lipatikane...hapo ndipo gharama kubwa inapozaliwa.
Lakini pia hakikisha kichwa chako kiko sawa- yaani huchanganyikiwa ovyo, maana mazoezi yake ni kimbembe.
Mbali sana,NENDA sumbawanga utapata training zote!
Mkuu waweza ukaenda pale JKIA terminal1 kipo kinaitwa reginal aviation colledge but huwa wanatoa leseni ya ppl(private pilot licence) na arusha nasikia vipo ila sina full info