Nenda hospital yoyote inayopokea bima ya afya na kawaeleze shida yako.Nipo dar nahitaji kufanya kupima afya kwa kutumia bima ya afya NHIF.
Unamwambia Dr unataka kupima afya tuu au unalist idadi ya magonjwa unayotaka kupima?
Hospital ipi ina utaratib mzur wa kupima ?
oyaa namshauri aende private hosii za sirikali unapigwa foleni mpaka yesu akirudi anakukuta kwenye foleniMnazi mmoja
ila inaruhusu nini jinga lao.....................................NHIF hairuhusu hilo ..medical checkup sio sehemu ya package