Nataka kupima afya (Medical chekup) kwa kutumia bima NHIF

kidadari

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
8,647
9,574
Nipo dar nahitaji kufanya kupima afya kwa kutumia bima ya afya NHIF.
Unamwambia Dr unataka kupima afya tuu au unalist idadi ya magonjwa unayotaka kupima?
Hospital ipi ina utaratib mzur wa kupima ?
 
Nipo dar nahitaji kufanya kupima afya kwa kutumia bima ya afya NHIF.
Unamwambia Dr unataka kupima afya tuu au unalist idadi ya magonjwa unayotaka kupima?
Hospital ipi ina utaratib mzur wa kupima ?
Nenda hospital yoyote inayopokea bima ya afya na kawaeleze shida yako.
 
Back
Top Bottom