Nataka kupanda nguvu humu kiumemba

mbongopopo

JF-Expert Member
Jan 24, 2008
1,611
759
mnakuwaje kupanda ngazi humu? maana sijaingia humu kupost mambo au ndio maana nimo ngazi ya chini? naona waliojiunga juzi ni member na mie ni junior member

kwa sasa nipo nje ya Tanzania

shukurani
 
mnakuwaje kupanda ngazi humu? maana sijaingia humu kupost mambo au ndio maana nimo ngazi ya chini? naona waliojiunga juzi ni member na mie ni junior member

kwa sasa nipo nje ya Tanzaniashukurani

Hapa kaka ni mwendo wa performance based assessment, si unaona sugu kajiunga chadema mwaka huu na mwaka huu kachukua ubunge! sasa usiseme kapendelewa!

kwa kukusaidia, kupanda rank hapa inategemea na idadi ya post zako kwa mf: ukifikisha 50 utakuwa senior member........250 senior expert member etc. Sasa sio nimekudokezea siri ndio uanze kupost hata upuuzi, kuna kitu kinaitwa BAN! OOOh!


Hapo kwenye red, ilikuwa siyo lazima useme uko wapi au ndio kusema mwenzetu unabeba boksi mpaka unakosa muda wa kuchangia mawazo na wana jf wenzio......ah! nakutania tu kaka, hata mie mwenyewe nabeba boksi hapa ughaibuni! ha ha ha!
 
mnakuwaje kupanda ngazi humu? maana sijaingia humu kupost mambo au ndio maana nimo ngazi ya chini? naona waliojiunga juzi ni member na mie ni junior member

kwa sasa nipo nje ya Tanzania

shukurani

Duuh! halafu hauna SENKSI hata moja, ngoja nikutolee mkosi kwa kukugongea hapo! ha ha ha!
 
mnakuwaje kupanda ngazi humu? maana sijaingia humu kupost mambo au ndio maana nimo ngazi ya chini? naona waliojiunga juzi ni member na mie ni junior member

kwa sasa nipo nje ya Tanzania

shukurani


hi there mi nazani hapa ni kujaribu ku keep up with other people. visit the website as often as u can ... read others comment and try to leave urs to.. im new here as well just join on 1.11.10..... and im trying to keep up to lol .... i dont live in TZ either but whnever i have got time i just jump in the net... lol Take care
 
Duuh! halafu hauna SENKSI hata moja, ngoja nikutolee mkosi kwa kukugongea hapo! ha ha ha!

unanipa ushauri halafu unasema sina SENKSI ndio nini? nimesema sipo tz sababu nilidhani mtu unajiunga kupanda juu kwa pesa, na ndio maana ingekuwa hivyo basi mtu angenipa ushauri wa kufanya

kuuliza sio ujinga

by the way niko nje ya nchi kwa muda sio kimoja nina shughuli nafanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom