Bossmkubwasana
Senior Member
- Apr 9, 2019
- 139
- 47
Nataka kuokoka neno 1 kwangu
OkokaNataka kuokoka neno 1 kwangu
Nataka kuokoka neno 1 kwangu
Warumi : Mlango 10Nataka kuokoka neno 1 kwangu
uhuru gani unauongelea mkuu
fanya hima mkuuNataka kuokoka neno 1 kwangu
Kuokoka ndo kufanya nini?
uza vyote ulivyo navyo kisha mfuate YesuNataka kuokoka neno 1 kwangu
Kwani Kuna ajali ?Nataka kuokoka neno 1 kwangu
Kwenye zile amri, Kuna hata moja Ina neno "kuokoka" ???Ni kumuamini Yesu Kristo kuwa alikufa na kufufuka na ktk wafu na kufufuka siku ya tatu na kupaa mbinguni,
Na yakwamba atakuja tena kwa utukufu kuwahukumu walio hai na wafu !
Ni kumkiri Yesu kwa Kristo kwa kinywa chako ya kuwa ni Mtawala (Bwana) wa milele.
Ni kuzaliwa mara ya pili kwa maji na kwa Roho
Ni kudumu ktk kujifunza na kuyashika mafundisho ya Neno la Mungu
vipi bosskubwa,umeshaokoka?ni uamuzi,muhimu na mkubwa kabisa ambao binadamu anaweza kufanya kwenye maisha yake.Nataka kuokoka neno 1 kwangu