Nataka kuokoka nifanyeje?

ab cd

Member
May 28, 2016
94
19
Hakika nahitaji wokovu wa bwana tatizo langu ni kwamba ninatamaa sana ya watoto wa kike na hili halijifichi kusema ninapepo la uasherati sasa mnanisaidiaje ili niweze kuijua injili?

Pia hapo zamani niliwahi kuokoka nikaijua injili vilivyo mdogomdogo nikabaki na taamaa za awali. Umri unaenda YESU namtaka lakini nashndwa kukaa muda mrefu katika neno.

Zaidi nimezaa na mtoto wa kiislamu sijui nifanyeje?
 
Hakika nahitaji okovu wa bwana tatzo langu ni kwamba
ninatamaa sana ya watoto wa kike na hili halijifich kusema ninapepo la uasherati sasa mnanisaidiaje ili niweze kuijua injili?
Pia hapo zamani niliwah kuokoka nikaijua injili vilivyo mdogomdogo nikabaki na taamaa za awali. Umri unaenda YESU namtaka lakn nashndwa kukaa muda mrefu ktk neno.

Zaidi nimezaa na mtoto wa kiislamu cjui nifanyeje mie!!

AFICHAYE DHAMBI ZAKE HATAFANIKIWA

Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; Bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema. Mwanadamu mwenye hofu ya Mungu yu heri sikuzote; Bali mshupavu wa moyo ataangukia madhara. MITHALI 28:13,14

“Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, wala kweli haimo mwetu. Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote. Tukisema kwamba hatukutenda dhambi, twamfanya Yeye kuwa mwongo wala neno lake halimo mwetu” 1YOHANA 1:8-10.

1YOHANA 2:1-2 ‘Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki, naye ndiye kipatanisho kwa dhambi zetu; wala si kwa dhambi zetu tu, bali na kwa dhambi za ulimwengu wote’
 
Nenda Kwa Nabii Malisa Pale Kanisa la Ukombozi ... Watu Wa Aina Kama Yako Anawapenda Sana ...
 
Hakika nahitaji wokovu wa bwana tatizo langu ni kwamba ninatamaa sana ya watoto wa kike na hili halijifichi kusema ninapepo la uasherati sasa mnanisaidiaje ili niweze kuijua injili?

Pia hapo zamani niliwahi kuokoka nikaijua injili vilivyo mdogomdogo nikabaki na taamaa za awali. Umri unaenda YESU namtaka lakini nashndwa kukaa muda mrefu katika neno.

Zaidi nimezaa na mtoto wa kiislamu sijui nifanyeje?
Unataka wokovu wa bwana wanamna gani
 
1467040813593.jpg
 
Mungu akubariki tafuta watumishi wakuongoze kwenye toba ya kweli,huyo ni Roho wa Mungu anakuita rudi kwa Kristo ndugu huko nje kuna nyoka,nge na mbwa mwitu,hatujui kesho saa ya wokovu ni sasa.
 
Hakika nahitaji wokovu wa bwana tatizo langu ni kwamba ninatamaa sana ya watoto wa kike na hili halijifichi kusema ninapepo la uasherati sasa mnanisaidiaje ili niweze kuijua injili?

Pia hapo zamani niliwahi kuokoka nikaijua injili vilivyo mdogomdogo nikabaki na taamaa za awali. Umri unaenda YESU namtaka lakini nashndwa kukaa muda mrefu katika neno.

Zaidi nimezaa na mtoto wa kiislamu sijui nifanyeje?
Roho ya uzinzi ni Roho ya wakati kwakuwa wakati umekwisha Shetani yuko kwenye kiwanja chake cha juu katika Roho ya uzinzi. Hivyo toba pekee itaondoa shauku hiyo na kuweka shauku Mambo ya Mungu. Utubu na ubatizwe katika jina la Bwana Yesu Kristo upate ondoleo la Dhambi zako. Kisha utapata Roho mtakatifu kwakua hiyo ni ahadi kwa kila mmoja anayefanya hivyo soma Matendo ya mitume 2:38
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom