Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani naombeni ushaur wa kiroho.mimi natamani kuokoka lakini kila nikitafakir kuacha pombe naona kama nakosa kitu kikibwa sana ktk maisha yangu ambacho ndicho kinachonipaga kujiskia mtu hapa duniani.wht shal i do?
Jamani naombeni ushaur wa kiroho.mimi natamani kuokoka lakini kila nikitafakir kuacha pombe naona kama nakosa kitu kikibwa sana ktk maisha yangu ambacho ndicho kinachonipaga kujiskia mtu hapa duniani.wht shal i do?
Tafuta maana harisi ya neno kuokoka, then Okoka, na uendelee kunywa pombe lakini usitende mambo mabaya, na jitahidi kupiga goti kuomba usije ukatenda dhambi iwapo utalewa kwa bahati mbaya. usisahau kuto 10% ya kipato chako. Huo ndo mtazamo wanguJamani naombeni ushaur wa kiroho.mimi natamani kuokoka lakini kila nikitafakir kuacha pombe naona kama nakosa kitu kikibwa sana ktk maisha yangu ambacho ndicho kinachonipaga kujiskia mtu hapa duniani.wht shal i do?
Hahaha kaka very simple, unywee nyumbani usiende baa haitaleta picha nzuri ukienda bar.
<br />thnx ithnk it is a gud ideaMtukwao, Hongera sana kwanza kwa nia ya kuokoka, Ukijaza roho mtakatifu yote yanawezekana, sidhani tu kama pombe inaweza kukufanya ukose ufalme wa mbinguni. Ukifanyiwa maombi na wewe ukamweleza Mungu shida yako ukimanisha yote yatawezekana. ninakuombea sana kwa MUNGu uli uweze kumshinda shetani.
Jamani naombeni ushaur wa kiroho.mimi natamani kuokoka lakini kila nikitafakir kuacha pombe naona kama nakosa kitu kikibwa sana ktk maisha yangu ambacho ndicho kinachonipaga kujiskia mtu hapa duniani.wht shal i do?
<br />saikolojikaly niko fiti mzee.bt thnx 4ua advice i might try itHapo kwenye red: yaani mkuu kama pombe ndio inakufanya kujisikia mtu basi unatatizo kubwa sana kichwani, nakushauri kaonane na psychologist kwanza kabla ya kukimbilia kuokoka. Okoka utakaporudi kwenye akili zako timamu.
<br />thts wht am tryng to avoid neno kuachaOkoka then ukijazwa roho mtakatifu pombe utaacha automatically!
Jamani naombeni ushaur wa kiroho.mimi natamani kuokoka lakini kila nikitafakir kuacha pombe naona kama nakosa kitu kikibwa sana ktk maisha yangu ambacho ndicho kinachonipaga kujiskia mtu hapa duniani.wht shal i do?
Nenda kanisa alilookoka nalo Dr Remmy (RIP), maana yeye aliokoka na kuendelea na bangi zake kama kawa.