BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,209
- 39,020
- Thread starter
- #121
Jk anamiliki ticha
Jpm anamiliki ticha
Majaliwa anamiliki ticha
Unasubiri nini wewe mwanaizaya??
Wacha niunge tela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jk anamiliki ticha
Jpm anamiliki ticha
Majaliwa anamiliki ticha
Unasubiri nini wewe mwanaizaya??
Mambo Relief, how's your weekend?Sio poaaaaa
Wako poa kwa kulea watoto,wapinzani wao ni manesi
Ni warahisi
Ni tabia tu ya mtu ,akiamua kuwa mhuni hata awe Mwalimu,au anashinda church ataufanya tuu, kuna barmaids wanajitambua sana.Uoe bar maid,stripper,masseur utegemee ndoa idumu
Hahaa, nomaa, anataka amuajiri kwenye Shule yakeSi unataka kufungua shule sio familia, oa tu
Haha nipo hapa mwalimu wa sayansi kimu
Siku hizi tumejaa walimu maslahi, karibu sana ila tupo vizuri sanaaaa, yaani wife material kabisaa hutojutia.
Cc Heaven Sent
Amini mkuu wako vizuri kwa hilo,,check tuuh washikaji wako uliowai soma nao ambao mama zao Ni walimu top ten uwakosi in short academic lazima ukute wapo jemaHii ndo point niliyokuwa nataka
Ndio maana sijakuacha nyuma mwalimu mwenzangu.Haha nipo hapa mwalimu wa sayansi kimu
Ni tabia tu ya mtu ,akiamua kuwa mhuni hata awe Mwalimu,au anashinda church ataufanya tuu, kuna barmaids wanajitambua sana.
Amini mkuu wako vizuri kwa hilo,,check tuuh washikaji wako uliowai soma nao ambao mama zao Ni walimu top ten uwakosi in short academic lazima ukute wapo jema
Habar zenu wanabodi. Kumekuwa na fununu kuwa walimu aka maticha ndo watulivu kwa ndoa, hawana mambo mengi na ni watiifu ndomana wanaolewa sana. Yaani wanajua kaa na mwanaume
Jamani kwa wale ambao mmeoa maticha nipeni hints ni kweli wanayosema kuhusu maticha?.
Habar zenu wanabodi. Kumekuwa na fununu kuwa walimu aka maticha ndo watulivu kwa ndoa, hawana mambo mengi na ni watiifu ndomana wanaolewa sana. Yaani wanajua kaa na mwanaume
Jamani kwa wale ambao mmeoa maticha nipeni hints ni kweli wanayosema kuhusu maticha?.
Duuu nikikumbuka walimu bilivyokuwa nikiwatafuna nikiwa Advance,hata sikushauri.Wanahuruma sana na inakuwa rahisi sana kuwanawa
Poa sana best! It's going bien! Ndio narudi hivi nlikuwa maisha basementMambo Relief, how's your weekend?
That's the geniusNi tabia tu ya mtu ,akiamua kuwa mhuni hata awe Mwalimu,au anashinda church ataufanya tuu, kuna barmaids wanajitambua sana.