Wana-jamvi,
Nataka kuoa mtu mwenye sifa hizi. Leo tarehe 1.1.2014, nimeona nipunguze vigezo maana naona mabinti wameshindwa kujitokeza.
1. Awe mweupe, asitumie mkorogo.
2. Awe na makalio/----/hips za kutosha.
3. Awe na elimu ya Chuo kikuu.
4. Mchangamfu, mcheshi.
5. Awe ni Mtanzania, kabila lolote.
6. Awe tayari kufunga ndoa na mimi Mwezi August 2015.
Please mwanamke mwenye sifa hizi au ana rafiki yake mwenye sifa hizi, ani-pm haraka sana tuanze kuwasiliana. Niko serious!
Nataka kuoa mtu mwenye sifa hizi. Leo tarehe 1.1.2014, nimeona nipunguze vigezo maana naona mabinti wameshindwa kujitokeza.
1. Awe mweupe, asitumie mkorogo.
2. Awe na makalio/----/hips za kutosha.
3. Awe na elimu ya Chuo kikuu.
4. Mchangamfu, mcheshi.
5. Awe ni Mtanzania, kabila lolote.
6. Awe tayari kufunga ndoa na mimi Mwezi August 2015.
Please mwanamke mwenye sifa hizi au ana rafiki yake mwenye sifa hizi, ani-pm haraka sana tuanze kuwasiliana. Niko serious!