Nataka kuoa: Awe na sifa hizi

Acuity

JF-Expert Member
Aug 13, 2013
391
118
Wana-jamvi,

Nataka kuoa mtu mwenye sifa hizi. Leo tarehe 1.1.2014, nimeona nipunguze vigezo maana naona mabinti wameshindwa kujitokeza.

1. Awe mweupe, asitumie mkorogo.
2. Awe na makalio/----/hips za kutosha.
3. Awe na elimu ya Chuo kikuu.
4. Mchangamfu, mcheshi.
5. Awe ni Mtanzania, kabila lolote.
6. Awe tayari kufunga ndoa na mimi Mwezi August 2015.


Please mwanamke mwenye sifa hizi au ana rafiki yake mwenye sifa hizi, ani-pm haraka sana tuanze kuwasiliana. Niko serious!
 
Duh, sijui kwanini umeweka sifa hizo. Muombe Mungu akupatie mke mwema
 
andika zako kwanza ndio wakutafute.....

Tukionana atahiyari kunikubali au kuniacha. Lakin mimi ni kijana mtanashati na handsome mwenye elimu ya wastani - Masters, naishi U.S.A. Nina umri wa miaka 30. Msichana awe na umri usiozidi miaka 25.
 
mtu mwenyewe inawezekana hela huna, mapenzi huna,elimu ya kuunga unga halafu unakuja na vigezo kibaaaao!!!!
 
Tukionana atahiyari kunikubali au kuniacha. Lakin mimi ni kijana mtanashati na handsome mwenye elimu ya wastani - Masters, naishi U.S.A. Nina umri wa miaka 30. Msichana awe na umri usiozidi miaka 25.

umesahau kuwaambia na ATM yako ina kiasi gani.
 
Wana-jamvi,

Nataka kuoa mtu mwenye sifa hizi:

1. Awe mweupe, asitumie mkorogo.
2. Awe na makalio yenye ukubwa wa wastani
3. Awe na elimu ya Chuo kikuu, Only first degree but not B.A in education
4. Mchangamfu, mcheshi.
5. Awe ni Mtanzania, kabila lolote but more preferably Mbeya, Mwanza, Kilimanjaro and Kagera regions.
6. Awe tayari kufunga ndoa na mimi Mwezi August 2015.


Please mwanamke mwenye sifa hizi au ana rafiki yake mwenye sifa hizi, ani-pm haraka sana tuanze kuwasiliana. Niko serious!
Weka picha tafadhali tena ukiwa umesimama mikono juu..
 
Jamani mbona sioni pm zenu?? This is serious. Ukini...pm tutapeana picha kila mtu amwone mwenzie.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom