Nataka kununua simu mpya, Ninunue ipi?

nitazoea

Senior Member
Mar 15, 2017
195
237
Wadau nipo mbioni kununua simu mpya but napata wakati mgumu katika chaguo langu kati ya HTC M8 na LG G3 Ipi ni nzur!?ushaur wenu ni muhimu
 
Budget yako ipoje ndugu, je nilazima ununue moja kati hizo ulizotaja, unata simu mpya au used
 
Kizazi cha Samsung
S8 1.7mil
S8+ 1.9mil
144f7ba57e882be219037940d86bf6e7.jpg
 
Back
Top Bottom