Nataka kununua mabasi yangu ya mwendokasi

Slim5

JF-Expert Member
Jan 7, 2014
28,106
37,641
Habari Wada!

Naomba ushauri wenye. Najua humu ni kama jungu kuu. Nataka kununua mabasi yangu mwenyewe ya mwendo kasi, niyatumie jijini DSM kusafirisha abiria.

Mabasi haya nataka kuyapitisha Katika bara bara hizi hizi za mwendokasi kwa vile naamini ni mali ya umma.

Ili kuyatofautisha na haya ya sasa hivi, yangu yatakuwa hayana rangi na pia nauli itakuwa jero tu.

Je, napaswa kuomba ruhusa wakati ni pesa yangu?
 
Habari Wada!

Naomba ushauri wenye. Najua humu ni kama jungu kuu. Nataka kununua mabasi yangu mwenyewe ya mwendo kasi, niyatumie jijini DSM kusafirisha abiria.

Mabasi haya nataka kuyapitisha Katika bara bara hizi hizi za mwendokasi kwa vile naamini ni mali ya umma.

Ili kuyatofautisha na haya ya sasa hivi, yangu yatakuwa hayana rangi na pia nauli itakuwa jero tu.

Je, napaswa kuomba ruhusa wakati ni pesa yangu?
Mi nakushauri jenga kwanza kibanda cha kujisetiri we na mkeo!
 
Wazo lako zuri kabisa manake UDART wasipokuwa na mshindani abiria watanyanyasika hasa kipindi ambacho wataoperate wenyewe huku madaladala yakiwa yameondolewa.
 
Unataka kuwasaidia watu walioridhika kugombania hayo magari & kubambiana humo ndani?! Watakutukana bure.

Fanya investments sehemu zingine japokuwa najua hii uliyoleta ni chai.
 
Back
Top Bottom