Makaanji
Member
- Jan 1, 2013
- 44
- 16
hzo zinaitwa JENGA UZA...Hazina ubora ....mtu anajenga fasta tu .....cement hawek kwa viwango...so baada muda mchache zinakuwa mbovuaisee chanika na Chamazi kuna viwanja na nyumba za bei rahisi sana hadi kunanipa wasiwasi, yaani nyumba imekamilika kabisa inauzwa milioni 20, nataka kujua kwa nini ni bei rahisi kuliko kwingine kabla sijanunua