Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,820
- 18,812
Wakuu nimejipanga na bajeti ya milioni 5 hadi 8 kwa ajili ya kununua kiwanja, maeneo ya DSM au Pwani kulingana na upatikanaji utakavyokuwa, bahati nzuri mimi nafanyia kazi nyumbani so hata eneo likiwa nje ya mji halitaniletea shida endapo litakuwa na intaneti
Baada ya kufanya utafiti wangu nimeona maeno yenye viwanja vya angalau sqm 800 ni maeneo ya Kigamboni, ambapo unaweza kupata eneo la kujenga nyumba nzuri na uwanja ukabaki
Sasa kilichonishangaza ni maeneo ya Chanika kuwa na viwanja na nyumba za bei chee sana tena maeneo yenye watu wengi tu, hili ni kwa nini?
Pia naomba kujua ni taratibu gani za kufuatwa ili kuepeukana na matapeli
Baada ya kufanya utafiti wangu nimeona maeno yenye viwanja vya angalau sqm 800 ni maeneo ya Kigamboni, ambapo unaweza kupata eneo la kujenga nyumba nzuri na uwanja ukabaki
Sasa kilichonishangaza ni maeneo ya Chanika kuwa na viwanja na nyumba za bei chee sana tena maeneo yenye watu wengi tu, hili ni kwa nini?
Pia naomba kujua ni taratibu gani za kufuatwa ili kuepeukana na matapeli