Wajameni,
Kuna jamaa yangu katoka mkoani juzi, kaja na tuhela twake anataka kununua kausafiri. Amenitonya kuwa anazo TZS 5 mil lakini anaweza kujitanua (ku-stretch) hadi TZS 6 mil.
Juzi jumamosi nilimpeka pale mnazi mmoja sehemu ile ya kidongo (siku hizi kuna turubai la mama zain africa). Pale magari yalikuwepo ila yanaanzia TZS 8 mil, yaani yale anayoyataka yeye (4 cylinder, na muonekano kidogo). Ilikuwepo moja Ballon Mark II GX90, 6 cylinder, 1G, ya mwaka 1995 kwa TZS 5.8 mil lakini akaogopa hilo 6 cylinder.
Mjumbe hauwawi.
Kuna jamaa yangu katoka mkoani juzi, kaja na tuhela twake anataka kununua kausafiri. Amenitonya kuwa anazo TZS 5 mil lakini anaweza kujitanua (ku-stretch) hadi TZS 6 mil.
Juzi jumamosi nilimpeka pale mnazi mmoja sehemu ile ya kidongo (siku hizi kuna turubai la mama zain africa). Pale magari yalikuwepo ila yanaanzia TZS 8 mil, yaani yale anayoyataka yeye (4 cylinder, na muonekano kidogo). Ilikuwepo moja Ballon Mark II GX90, 6 cylinder, 1G, ya mwaka 1995 kwa TZS 5.8 mil lakini akaogopa hilo 6 cylinder.
Mjumbe hauwawi.