Nataka kununua gari

Veronica7598

JF-Expert Member
Jan 2, 2017
361
408
Wakuu habari zenu

Naomba mnipe ushauri nataka kununua gari aina rav4 new model, sina uhakika kama nimepatia jina ila ni rav4 hili toleo jipya.

Tatizo naogopa kuingizwa mjini, kwa anaefaham yad nzur za magar ambapo nitaenda direct bila kutumia madalali pia pesa yangu Mil10 je! Naweza pata gari aina ya rav4 kwa bei hiyo.

Kama ikishindikana hata toyota Noah ambayo bado mpya mpya kias pia sio mbaya.
Naishi tanga wakuu, dar sio mwenyeji sna Naomba msaada wenu wa mawazo,

ahsanten nasubir mchango wenu.
 
Asubuhi hapa kulikuwa na prado milion 8, au hupendi magari ya nayokunywa mafuta sana?
 
Wakuu habari zenu

Naomba mnipe ushauri nataka kununua gari aina rav4 new model, sina uhakika kama nimepatia jina ila ni rav4 hili toleo jipya.

Tatizo naogopa kuingizwa mjini, kwa anaefaham yad nzur za magar ambapo nitaenda direct bila kutumia madalali pia pesa yangu Mil10 je! Naweza pata gari aina ya rav4 kwa bei hiyo.

Kama ikishindikana hata toyota Noah ambayo bado mpya mpya kias pia sio mbaya.
Naishi tanga wakuu, dar sio mwenyeji sna Naomba msaada wenu wa mawazo,

ahsanten nasubir mchango wenu.
Rav 4 kwa bajeti hio itakuwa haipo kwenye hali nzuri labda hiyo Noah.
 
Wakuu habari zenu

Naomba mnipe ushauri nataka kununua gari aina rav4 new model, sina uhakika kama nimepatia jina ila ni rav4 hili toleo jipya.

Tatizo naogopa kuingizwa mjini, kwa anaefaham yad nzur za magar ambapo nitaenda direct bila kutumia madalali pia pesa yangu Mil10 je! Naweza pata gari aina ya rav4 kwa bei hiyo.

Kama ikishindikana hata toyota Noah ambayo bado mpya mpya kias pia sio mbaya.
Naishi tanga wakuu, dar sio mwenyeji sna Naomba msaada wenu wa mawazo,

ahsanten nasubir mchango wenu.

Mil 10?
Rav 4 New Model?
Utani ?
 
Wakuu habari zenu

Naomba mnipe ushauri nataka kununua gari aina rav4 new model, sina uhakika kama nimepatia jina ila ni rav4 hili toleo jipya.

Tatizo naogopa kuingizwa mjini, kwa anaefaham yad nzur za magar ambapo nitaenda direct bila kutumia madalali pia pesa yangu Mil10 je! Naweza pata gari aina ya rav4 kwa bei hiyo.

Kama ikishindikana hata toyota Noah ambayo bado mpya mpya kias pia sio mbaya.
Naishi tanga wakuu, dar sio mwenyeji sna Naomba msaada wenu wa mawazo,

ahsanten nasubir mchango wenu.
Huwezi kupata Gari hyo kwa pesa hyo
 
Wakuu habari zenu

Naomba mnipe ushauri nataka kununua gari aina rav4 new model, sina uhakika kama nimepatia jina ila ni rav4 hili toleo jipya.

Tatizo naogopa kuingizwa mjini, kwa anaefaham yad nzur za magar ambapo nitaenda direct bila kutumia madalali pia pesa yangu Mil10 je! Naweza pata gari aina ya rav4 kwa bei hiyo.

Kama ikishindikana hata toyota Noah ambayo bado mpya mpya kias pia sio mbaya.
Naishi tanga wakuu, dar sio mwenyeji sna Naomba msaada wenu wa mawazo,

ahsanten nasubir mchango wenu.
Kwa hiyo bei hata Rav4 old model itakuwa mbovu sana.

Noah utapata, tena nzuri kabisa.
 
Wakuu habari zenu

Naomba mnipe ushauri nataka kununua gari aina rav4 new model, sina uhakika kama nimepatia jina ila ni rav4 hili toleo jipya.

Tatizo naogopa kuingizwa mjini, kwa anaefaham yad nzur za magar ambapo nitaenda direct bila kutumia madalali pia pesa yangu Mil10 je! Naweza pata gari aina ya rav4 kwa bei hiyo.

Kama ikishindikana hata toyota Noah ambayo bado mpya mpya kias pia sio mbaya.
Naishi tanga wakuu, dar sio mwenyeji sna Naomba msaada wenu wa mawazo,

ahsanten nasubir mchango wenu.
Kwa ela hiyo huwezi kupata rav4 unayohitaji.
Mimi nakushauri bora ununue gari ambayo utakuwa unaenda tu garage kubadili oil, filters na break pads kuliko ununue gari iliyoahachoka.
Kwa ela hiyo unaweza kupata raum safi kabisa iliyotumika kidogo hapa nchini, ist, na saloon cars kibao
 
Wakuu habari zenu

Naomba mnipe ushauri nataka kununua gari aina rav4 new model, sina uhakika kama nimepatia jina ila ni rav4 hili toleo jipya.

Tatizo naogopa kuingizwa mjini, kwa anaefaham yad nzur za magar ambapo nitaenda direct bila kutumia madalali pia pesa yangu Mil10 je! Naweza pata gari aina ya rav4 kwa bei hiyo.

Kama ikishindikana hata toyota Noah ambayo bado mpya mpya kias pia sio mbaya.
Naishi tanga wakuu, dar sio mwenyeji sna Naomba msaada wenu wa mawazo,

ahsanten nasubir mchango wenu.
japokuwa umesema hupendi madalali mi ni dalali ntakusaidia Rav 4 new model mpya huwezi pata kwa hiyo bei ila noah utapata nakushauli chukua noah ya dhamani old model ya mwaka 1998/99 , rav 4 new model ni 24m lakini unaweza pata hata kwa 15m iliyotumika hapa na number c au b .
noah usije jaribu kuchukua vox utalia asante kwa mahitaji ya gari nione 0657145555.
 
Back
Top Bottom