mkuu humu hutaambulia kitu, mtafute fundi wa magari jirani yako atakushauri, ila humu utaambulia kejeriWadau,
Naomba mwenye kujua kuhusu gari imara na inayotumia mafuta kidogo especially used from Japan, pia ni vitu gani vya msingi napaswa kujua kabla sijamiliki gari?
Ahsanteni
1. Je bajeti yako ni kiasi gani? - Bajeti ndio itakuchagulia gari stahiki.gari imara na inayotumia mafuta kidogo especially used from Japan, pia ni vitu gani vya msingi napaswa kujua kabla sijamiliki gari?
Kwa hiyo bajeti - tafuta gari za ingine size 1.3L, mfano IST etl, Kwa kigezo cha ulaji wa mafuta kidogoBajeti isizidi 8.5M
Ahsante kwa ushauri mkuu....Je hiyo ya kuagiza direct inakwenda mpaka mil ngap ?Kwa hiyo bajeti - tafuta gari za ingine size 1.3L, mfano IST etl, Kwa kigezo cha ulaji wa mafuta kidogo
Kwa hiyo bajeti - haitoshi kuagiza gari toka Japan (CIF + KODI), bali utanunua hapa hapa nchini.
Ni vyema ukaanza na hii thread utapata mwanga zaidi:
Ghalama inajulikana iwapo tu utasema:Je hiyo ya kuagiza direct inakwenda mpaka mil ngap ?
ya kuagiza direct kwa gari hizi ndogo ndogo , IST,Allex,Runx ,Premio nk ni kati ya m9.5 hadi 12m kulingana na specification za gari mfano millage, yr of made nk.Ahsante kwa ushauri mkuu....Je hiyo ya kuagiza direct inakwenda mpaka mil ngap ?
Umenifumbua macho aisee kumbe creteria hizo !!!!Ghalama inajulikana iwapo tu utasema:
- ni aina gani ya gari unahitaji?
- Iwe ya mwaka gani?
- iwe na cc ngapi?
Kumbuka kwa sasa kodi ya magari kidogo imeongezeka tofauti na mwaka jana.
Tuchukulie kwa mfano Toyota IST inatakiwa uandae sio chini ya 12m, Ambapo makadirio ya kodi ni kama 5m. : Used Motor Vehicle Valuation System - Used Motor Vehicle Valuation System
View attachment 687519
ukiitaji ya mkononi usisite kunitafuta.Ahsante kwa ushauri mkuu
Kwa bei hyo itatosha kuagiza passo from japan pamoja na ushuru kila kitu kasoro bima tuKwa hiyo bajeti - tafuta gari za ingine size 1.3L, mfano IST etl, Kwa kigezo cha ulaji wa mafuta kidogo
Kwa hiyo bajeti - haitoshi kuagiza gari toka Japan (CIF + KODI), bali utanunua hapa hapa nchini.
Ni vyema ukaanza na hii thread utapata mwanga zaidi: