Mickih Tutu Member Mar 8, 2014 26 6 Apr 23, 2019 #1 Nataka kununua bidhaa kupitia JUMIA naomba kujua uaminifu na uhakika wa hii huduma kama kuna ambaye aliyewhi pata huduma hii anisaidie
Nataka kununua bidhaa kupitia JUMIA naomba kujua uaminifu na uhakika wa hii huduma kama kuna ambaye aliyewhi pata huduma hii anisaidie
Sharifu kaimukirwa Member Sep 18, 2018 17 5 Apr 23, 2019 #2 Wako vizuri kiongozi wakisha kuletea bidhaa ndo unalipa wako makini sana kikubwa wape location ulipo watakupigia nakukuletea order yako
Wako vizuri kiongozi wakisha kuletea bidhaa ndo unalipa wako makini sana kikubwa wape location ulipo watakupigia nakukuletea order yako
thesym JF-Expert Member Aug 15, 2012 3,791 4,679 Apr 23, 2019 #3 Wako poa ila jumia ya sasa sio kama zamani kipindi inaanza. Mwanzoni wao ndio walikuwa wanauza bidhaa lakini tofauti na sasa. Kwa sababu kwa sasa imekuwa kama soko (market place). Hivyo madalali wamejaa kwa unaweza kuuziwa bidhaa kwa bei ya juu. Mfano niliwahi tafuta flash za imation gb 8 ambapo maduka ya mtaani ni chini ya tsh 14,000 lakini jumia kuna baadhi ya wauzaji wanauza 32,000. [ So unaweza check jinsi bei isivyoendana. Kwa hiyo kuwa makini na bei za jumia inaweza isiwe msaada kutokana na uwepo wa madalali.
Wako poa ila jumia ya sasa sio kama zamani kipindi inaanza. Mwanzoni wao ndio walikuwa wanauza bidhaa lakini tofauti na sasa. Kwa sababu kwa sasa imekuwa kama soko (market place). Hivyo madalali wamejaa kwa unaweza kuuziwa bidhaa kwa bei ya juu. Mfano niliwahi tafuta flash za imation gb 8 ambapo maduka ya mtaani ni chini ya tsh 14,000 lakini jumia kuna baadhi ya wauzaji wanauza 32,000. [ So unaweza check jinsi bei isivyoendana. Kwa hiyo kuwa makini na bei za jumia inaweza isiwe msaada kutokana na uwepo wa madalali.
mwanazuoni mgeni JF-Expert Member Sep 11, 2016 1,944 1,712 Oct 30, 2019 #4 Sahv ni utapeli umejaa bidhaa nyingi ni feki ..sikushauri