Nataka kung'oa jino hospital ipi ni nzuri Dar es Salaam

Regency medical centre wana facility nzuri!wana gharama kidogo kama una kadi ya bima ya afya itakua nafuu kidogo!
 
Regency medical centre wana facility nzuri!wana gharama kidogo kama una kadi ya bima ya afya itakua nafuu kidogo!

mkuu vp na hawa Tumaini Hospital kuhusiana na hii huduma? maana siku zote mie huona kama pale Regency wana kaubaguzi flani hasa kwa sie black na ukiwa na bima ya afya ya NHIF brown card ndio kabisaaaaa. naomba some detail maana hata na mimi mwenyewe nina tatizo na jino
 
mkuu vp na hawa
Tumaini Hospital kuhusiana na hii huduma? maana siku zote mie huona kama
pale Regency wana kaubaguzi flani hasa kwa sie black na ukiwa na bima
ya afya ya NHIF brown card ndio kabisaaaaa. naomba some detail maana
hata na mimi mwenyewe nina tatizo na jino

regency ndo mpango mzima
 
Nenda aviation clinic ipo ilala, ni clinic nzur sana kwa ung'oaji wa jino

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Naomba msaada Wa kujulishwa hospital nzuri kwa matibabu ya meno

Nenda shree Indumandal pale posta
Upanga ROAD
Hawajaamaa hawang'olei jino VYUMA ni just tu dawa jino linallegea wanachomoa hata kwa mikono
Hautosikia maumivu...Njia hii itakusaidia hata kuzuia Blockage ya some Alveoral nerves ambazo zikiwa blocked vibaya either sababu daktari katumia nguvu kuliko akili basi utavimba na unaweza fanyiwa NEURO-SURGERY na ukizingatia wataharamu hii kitu ni 5 hapa bongo
 
Kwa dr muya morroco used to be gud, ila since astafu sijaenda jaribu
 
Nenda shree Indumandal pale posta
Upanga ROAD
Hawajaamaa hawang'olei jino VYUMA ni just tu dawa jino linallegea wanachomoa hata kwa mikono
Hautosikia maumivu...Njia hii itakusaidia hata kuzuia Blockage ya some Alveoral nerves ambazo zikiwa blocked vibaya either sababu daktari katumia nguvu kuliko akili basi utavimba na unaweza fanyiwa NEURO-SURGERY na ukizingatia wataharamu hii kitu ni 5 hapa bongo

Mmmhhh wanatumia vyuma bana....ila kwa ung'oaji wako vizuri
 
Poleni sana ndg zangu wote msumbuliwao na ugonjwa wa meno!
Hapa nina ushauri mmoja wa kuwapa kabla hamjaenda kung'oa meno yenu.
Japo nafahamu wengi wetu tunajua kuwa dawa ya jino ni kung'oa lakini siku zote mimi huwa nipo mbali sana na huu msemo!
Mimi ninayodawa ya jino na pumu(asthma) nilionyeshwa na babu yangu nikiwa mdogo.(sihtaj kwenda mbali sana kihstoria na wala mimi si mganga wa jadi).
Sitamcharge mtu hela ktk kumtibu ila nakuhakikishia uponyaji wa ajabu ndani ya siku2 na hutaamini.
Kwa wenye uhitaji tumieni fursa hii kwa kuniPM so that i can direct you a detailed means of getting this amazing cure!
 
Weka maji ya betri mjukuu wangu wakati wa kulala ukiamka asubuhi unapangusa tu...hii dawa ni kiboko
 
Ni pm nikupe no ya docta wa kisarawe ana clinic yake ya meno tu pare Pugu sekondari huyu docta yupo fresh sana ukingoa jino huwez kujutia
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom