miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,969
kula ufuta mara kwa mara...
kula na kwenda kulala hapo hapo...
kula vitu kama sodana vitu vyenye sukari...
tumia zaidi junk food when u get time usiache mdomo wako upumzike hata kidogo mda wote unatafuna tu... usifanye mazoaezi kama kutembea mwendo mrefu... jaribu kuwa na hasira mara kwa mara kama unahitaji kitambi
kula na kwenda kulala hapo hapo...
kula vitu kama sodana vitu vyenye sukari...
tumia zaidi junk food when u get time usiache mdomo wako upumzike hata kidogo mda wote unatafuna tu... usifanye mazoaezi kama kutembea mwendo mrefu... jaribu kuwa na hasira mara kwa mara kama unahitaji kitambi