Glenohumeral joint
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 2,054
- 2,885
Unatafuta magonjwa,nakutakia safari njema ya kuanza kukarbisha kifo cha mapema...good luck
Vidonge vya nguruweMhhh! Unene taabu tu bora ukae ivo hivo.
Ila nasikiaga vidonge vya nguruwe vinanenepesha watu.
Bila kusahau blue band na jam kwenye mkate, apake kila kipande kwa kujazaUsiruhusu kuskia njaa kula kwa kutumia "kichwa" yani kila ukiwaza kula chukua chakula chochote kula, uwe na juisi kubwa la azam na mkate, baada ya tea kabla ya lunch unagonga silesi kadhaa na juice,baada ya lisaa baada ya lunch silesi kadhaa na juisi, kabla ya mlo wa jioni kunywa bia moja.Miezi mitatu utajikataa
Kwenye bia hapo nakubali,mwili wa mtu kama una asili ya fat halafu akiwa anakunywa bia na anakula fresh mwili unaumuka na kitambi hakimuachi.Kuondoa tatizo lazima muhusika afanye mazoezi ya kupunguza tumbo.Usile vyakula vya wanga kwa wingi(carbohydrates). Maugali na wali kula kidogo sana.
Usinywe bia (safari lager, Kilimanjaro, and the like).
Kwani mwili ulionao ni mwembamba kiasi kwamba unahitaji kuumuka?Me mwenyewe nataka kuwa chibonge.
Ngoja niweke kambi hapa
Ni mwembamba mwenywe nyama, ila sasa nataka ziongezeke ongezekeReally?Kwani mwili ulionao ni mwembamba kiasi kwamba unahitaji kuumuka?
Kuwa na mwili wa kawaida,unakuwa mwepesi kwa kila kitu.Fanya mazoezi ya kujenga mwili wako ukae vizuri.Kaa mbali na kitu kinaitwa Obesity.Ni mwembamba mwenywe nyama, ila sasa nataka ziongezeke ongezeke