Tuliza na acha kisebu sebu, kama husomi na kuelewa nachokiandika bora uwe mvumilivu na ukisome unachokiandika.Kwani nani ameupima?
Acha ujinga na wewe.
Nimesema kwa upande wangu Mimi nitawarudishia wazazi fadhila..hata kama ni kwa kiasi kidogo.
Ni kama tunavyomtolea humu sadaka,hakuna Cha thamani kinachoweza kutosheleza kutoa ila tunafanya hivyo kwa vidogo hivyohivyo
Si lazima wote tukawa na mtazamo sawa.
Usianze kuniona nina shida kwa kuwarudishia fadhila wazazi wangu..huo ni msimamo wangu na upendo wangu tu.
Wewe kama hutaki kufanya basi usiwaone wanaofanya ni wajinga.
Haya ndiyo matatizo ya kujadiliana na watoto mambo ya kikubwa.