Nataka kumshitaki mudhihir

Oct 5, 2007
74
1
napenda nieleweke wazi kabisa, ushauri wako unayesoma hii utanisaidia mawazo ya mwisho mwisho kuhusu azma yangu.

nataka kwenda mahakamani kufungua kesi dhidi ya mheshimiwa mudhihir wa mudhihir sababu za mimi kumshitaki mudhihir ni
1. kuendesha gari kizembe na kujaribu kujiua(kujisababishia kifo)

2. kuhatarisha maisha ya watumiajia wa barabara(mwendesha baiskeli aliyemkosakosa)

3. kuendesha gari kwa mwendo kasi na kushindwa kulimudu hivyo kujisababishia ajali
4. kuendesha gari lisilokuwa na breki
5. kuendesha gari akiwa ametumia kilevi (akiwa amelewa)

ushahidi ninao na maelezo aliyotoa yote katika TV, magazeti, mkono wake uliokatwa na nimerekodi kila kitu ili kutimiza kile ambacho watanzania tunadhani hakiwezekani!

mara ngapi mmesikia madereva wanasakwa na polisi baada ya kuangusha magari? je huyu mudhihir amekamatwa? najua bado huku ni kukeuka sheria za jamhuri hii, hivyo nawajibika binafsi kufanya hili.
 
hiyo sababu namba tano unauhakika nayo?
ulikuwa mwezi mtukufu swahiba,
 
go ahead but I dont know how our judges will handle that case.I remember sometimes back in this year governor of New Jersey,USA,was a passenger in a state car without a seat belt and got a bad accident but he was no prosecuted
 
mazee that was against the law, or maybe the policeman who was handling that accident did not act accordingly. in Tanzania the penalty for the same offense is Tshs 20,000/=
 
sasa kuhusu kupata kilevi unao ushahidi kama ndugu yangu alivyouliza? au ukifunga ukifika jioni huwa kama umelewa kwa njaa ndivyo unavyokusudia?

ukishindwa kuthibitisha toka hapa hii itakuwa nyepes nyepesi na burudani baada ya weekend iyende kule tukafurahi
 
unajua unapofungua kesi unahitaji data nyingi sana sasa possibilities za kuvunja sheria hazitambui mwezi mtukufu, ni mangapi maovu yanafanyika katika mwezi huo? mfano kiti moto wateja wa kula katika bar na bucha idadi imepungua wengi wananunua wanapeleka nyumbani kwa kuogopa macho ya watu lakini huko makwao wanaendeleza,hebu niongeze pointi unafaa sana unanipa changamoto!
 
unapokwenda mahakamani kudai haki huhitaji kujihukumu kabla ya hakimu, kinachotakiwa ni mahakama na polisi kuleta ripoti itakayobainisha kuwa ni kweli hakulewa. katika hali ya kawaida ameendesha gari kwa muda gani, mbona hakupata ajali kabla isipokuwa siku hiyo? hizi ni hints ambazo zinahitajika kuelezwa wazi. sichekeshi mbona sababu zingine hukuzigusia nazo ni kimeo? au hatujui sheria za barabarani? nataka tuanze kuendesha hii nchi kwa mujibu wa sheria bila kujali madaraka wala pesa!
 
napenda nieleweke wazi kabisa, ushauri wako unayesoma hii utanisaidia mawazo ya mwisho mwisho kuhusu azma yangu.

nataka kwenda mahakamani kufungua kesi dhidi ya mheshimiwa mudhihir wa mudhihir sababu za mimi kumshitaki mudhihir ni
1. kuendesha gari kizembe na kujaribu kujiua(kujisababishia kifo)

2. kuhatarisha maisha ya watumiajia wa barabara(mwendesha baiskeli aliyemkosakosa)

3. kuendesha gari kwa mwendo kasi na kushindwa kulimudu hivyo kujisababishia ajali
4. kuendesha gari lisilokuwa na breki
5. kuendesha gari akiwa ametumia kilevi (akiwa amelewa)
.
Vichekesho tosha!
 
huyu kaka inaonyesha ana uchungu sana, au ana maflasi yake(kama ndugu zangu wa mrima mnavyotumia),sasa ndio JF management tunapowataka wafanye kazi yao kwanza kuzipanga za udaku sehemu yake bila ya kujali ila mgusa nani, na kuchelewa kuchukua maamuzi ni hatari.


nilijaribu siku nyingi ni jinsi gani JF management iko makini, nilichogundua kuna mada wanareact haraka sana.

nishaanzisha topic za kumsifu zitto na mbowe zilidumu, kumsagia amina zilidumu, kumsagia kikwete zilidumu, nikaja kumsagia zitto ziliondoshwa, kumsagia mbowe zikaondoshwa.

nikaangalia na wengine michango yao wengine wakitukanwa management hujidai haioni ila wengine mbio in action.

nimeshazungumza na ndugu yangu invisible pembeni juu ya hili.


uhuru wa kutoa mawazo uwepo na sheria zetu ziwezinawalinda wote kwa usawa na zinawaadhibu wote kwa usawa.

wako wanaoona kwa mawazo yao na utashi wao kuwa serikali hii ni mafisadi wengine just kwa kusikia tu, na wako wamefanya utafiti na wanaamini tafiti zao.

wako pia wanaoamini serikali hii ni safi na inajitahidi kwa kusikia na wengine wamefanya utafiti na wanaamini tafiti zao.

pande zote mbili nyinyi management mnatakiwa mzipe nafasi sawa kueleza hisia zao na maono yao, halafu iachwe jamii iamue. na hii ndio itayojenga hadhi ya forums.

kinyume chake hamtoweza kukimbia tuhuma ya kuwa forums yetu inaendeshwa na kundi moja tu, na kwa hivyo sio chombo cha kukitegemea kidemokrasia.

nnanasihi tena tuwe fair. mtu aseme analolihisi awasilishe kwa njia ilio nzuri, anaeenda kinyume bila ya kuangalia kuwa mkjj, kichuguu, lunyungu, kada mpinzani, mwafrika wa kike, Fidel marshal au hata mimi sote tunawajibika mbele ya sheria zetu
 
nadhani mshamba ana hoja na sio kwamba nia yake ni kushtaki kweli ila nadhadhani ametumia fasihi kufikisha ujumbe kwambaaa

kama mwenye dhamana ya kuhimiza utimizaji wa wajibu na yeye asitimize wajibu, je afanywe nini??

najaribu kufafanua hoja
 
unajua unapofungua kesi unahitaji data nyingi sana sasa possibilities za kuvunja sheria hazitambui mwezi mtukufu, ni mangapi maovu yanafanyika katika mwezi huo? mfano kiti moto wateja wa kula katika bar na bucha idadi imepungua wengi wananunua wanapeleka nyumbani kwa kuogopa macho ya watu lakini huko makwao wanaendeleza,hebu niongeze pointi unafaa sana unanipa changamoto!

hapa nilitaka kumkumbusha kwa kuwa ni mwezi mtukufu inawezekana muheshimiwa alikuwa katika spidi ya kuwahi kwenda kufuturu nyumbani.

swala la pombe ni lazima liwe na ushahidi kaka, na ukizangatia kule lindi sidhani kama wanavipimo vya kupima pombe kwenye damu, au ni kuwa polisi/watu waliomtoa kwenye gari walnusa harufu ya pombe?

Otherwise nia yake ni nzuri, lakini kabla ya kuendelea ni lazima kuwe na ushahidi.
 
nadhani mshamba ana hoja na sio kwamba nia yake ni kushtaki kweli ila nadhadhani ametumia fasihi kufikisha ujumbe kwambaaa

kama mwenye dhamana ya kuhimiza utimizaji wa wajibu na yeye asitimize wajibu, je afanywe nini??

najaribu kufafanua hoja

Fasihi gani hapo, huko nyuma uliwahi kupiga kelele kwa wafanya utumbo kuitwa wasanii, lakini leo hii sina budi kusema kuwa kauli yako imejaa usanii
 
Adm could u please put this into its appropriate place, whether nyepesi or Udaku.
 
mtu wa pwani najua wewe ni shallow!

unaleta lawama, wengi unawaona wako against wewe kwakuwa kuna mambo mengi huyajui na kwakuwa una utashi na viongozi wa CCM unaona kero kupashwa ukweli.

jamii ndio inyojibu kama hawatoi ushirikianao kwa upuuzi wako tukuache eti tu tuonekane fair?

tafuta fair kwa wapuuzi, sio watu makini forum maana yake unaipindisha nini maana ya tusi ama lugha mbaya!

jaribu kutembelea nchi zingine forum zao ni balaa ama hujawahi sikia bush akitukanwa hata na wasanii kwenye jukwaa!

acha wivu wako wa daima hutapokelewa kama hujajifunza kanuni za wenzako.

mbona mimi nilikubali kikwete kuwa rais kwakuwa wengi walimchagua? binafsi namjua hana kitu kichwani na sasa yamemfika mbona sijaenda kumuondoa!

bomu liwe bomu na kura iitwe kura forum huiwezi pisha wanaojua

lakini sikushangai wewe si kada wao CCM kila kitu mnaimbiwa na kumilikishwa.

muone mwenzio adam malima bure kabisa! anasema mrahaba ni sawa na hisa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom