arusha unafanya nini mkuu?kama kweli upo seriuos wasiliana uongozi wa chadema makao makuu ili wakupe support'vile vile jitahidi kurudi jimboni kuwa karibu na wanchi kule pia itakuwa jambo la maana kwa chadema kwani tunaitaji watu kama wewe kukijenga chama'sasa issue kama unafanya kazi arusha litakuwa swala la chama kuangalia utafanyaje
Toka Arusha ukapige kambi Namtumbo uanze kutoa elimu ya uraia kwa kushirikiana na uongozi wa CDM ulioko huko...mfungue matawi jimboni kote...hakika 2015 jimbo utalichukua kiulaini.