Adolph Leonard
Member
- Oct 14, 2011
- 49
- 44
. T
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimaliza chuo mwaka 2009,wakati huo nilikuwa katika mahusiano na msichana ambae nilimpenda sana,wakati wote nilipokuwa chuo nilikuwa namsaidia sana mpenzi wangu huyo kwa pesa za bodi ya mkopo,baada ya kumaliza chuo ukata ulinianza nilikaa kwa zaidi ya mwaka bila kazi,mpenzi wangu alishindwa kuvumilia akanicha akawa anatoka na mtu mwengine ambae alikuwa rafiki yangu wa karibu sana,niliumia sana kwakweli,Mungu si athumani baada ya mwezi nikapata kazi mkoa wa pwani,sikupenda kwenda mbali na nyumbani nilipokuwa naishi dsm,lakini nililazimika kuondoka kwa sababu ya maumivu niliyokuwa nikiyapata nikimuona gf wangu akitoka na best yangu,baada ya kufanya kazi kwa miezi 8 nilipata msichana mwengine ingawa ckuwa na mapenzi nae kwa sana lakini alinionyesha kunijali nikaona huyu ndio ananifaa,ckuchukua ata muda nikamuoa,dah kwa sasa najuta na vituko anavyonionyesha,unyumba mpaka nilie,kutwa bussy na mashoga zake,kibaya zaidi tabia ya umbeya na kusutana na wenzake kwa vijembe vya kuimbiana taarabu.Najuta sana nahisi nina mkosi na mapenzi,NATAKA KULEWA PLZ HELP
Nakushauri utumie konyagi kwa wingi kila siku utayasahau yote. Tukiacha utani, nadhani tatizo lako hujamtoa akilini yule wa awali na kumchukulia mkeo kikamilifu bila kumlinganisha. Ukiachana kabisa na fikara za mpenzi wa awali utaanza kuona mkeo hana ubaya wa ajabu, na mtayazungumza na kuyarekebisha yanayowezekana.
chukua hatua.. fikiri kabla ya kutenda.. usifanye kitu kwa sababu ya tamaa ya muda mfupi na kuachana na kile ulichokihitaji kwa muda mrefu..
Pole sana!! Ila usilewe bana mbona wanawake wako wengi tu, ya nini kujitia mawazo!
Nilimaliza chuo mwaka 2009,wakati huo nilikuwa katika mahusiano na msichana ambae nilimpenda sana,wakati wote nilipokuwa chuo nilikuwa namsaidia sana mpenzi wangu huyo kwa pesa za bodi ya mkopo,baada ya kumaliza chuo ukata ulinianza nilikaa kwa zaidi ya mwaka bila kazi,mpenzi wangu alishindwa kuvumilia akanicha akawa anatoka na mtu mwengine ambae alikuwa rafiki yangu wa karibu sana,niliumia sana kwakweli,Mungu si athumani baada ya mwezi nikapata kazi mkoa wa pwani,sikupenda kwenda mbali na nyumbani nilipokuwa naishi dsm,lakini nililazimika kuondoka kwa sababu ya maumivu niliyokuwa nikiyapata nikimuona gf wangu akitoka na best yangu,baada ya kufanya kazi kwa miezi 8 nilipata msichana mwengine ingawa ckuwa na mapenzi nae kwa sana lakini alinionyesha kunijali nikaona huyu ndio ananifaa,ckuchukua ata muda nikamuoa,dah kwa sasa najuta na vituko anavyonionyesha,unyumba mpaka nilie,kutwa bussy na mashoga zake,kibaya zaidi tabia ya umbeya na kusutana na wenzake kwa vijembe vya kuimbiana taarabu.Najuta sana nahisi nina mkosi na mapenzi,NATAKA KULEWA PLZ HELP