Petrol Tank
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 205
- 350
Mm ni mwalimu npo mbeya mjini na mshahara wang kwa sasa take hom ni kama 350 iv, nataka kukopoa NMB kiasi tajwa kwa ajili ya kufungua kibanda cha mahitaji ya kawaida ya majumbani, location nimepata nzur ila bado najiuliza kama ntatoboa.
NB: nategemea kuajiri mfanyakaz kwa sababu muda mwing wa mchana nakuwa Mazini na jion ndio ntakuwa na muda wa kuwa Kubandani
Naombeni kuwasilisha
NB: nategemea kuajiri mfanyakaz kwa sababu muda mwing wa mchana nakuwa Mazini na jion ndio ntakuwa na muda wa kuwa Kubandani
Naombeni kuwasilisha