Wasiokua na uvungu hata kukimbia hua ni shida sana wanakimbia kama bata
hata ukiwa na uvungu,hutopita labda lisiwe taifa chafu hili
Huo ndiyo uvungu
Sio kweliUkukosa uvungu ,,maana yake mzunguko wadamu kufika unyayon unakua unaosuasua ,kwaiyo huwezi kutembea au kukimbia umbal mrefu lkn pia unakutwa natatizo LA ganzi Mara kwamara.
Hii jeshi wanaiangalia sana.
Mkuu umekosa nafasi nini?hata ukiwa na uvungu,hutopita labda lisiwe taifa chafu hili
Navoelewa mm mkuu,, km nilivyoambiwa.Sio kweli