Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hv wana jf huyu maalim seif sharif hamad ana kazi gani......? Au ndo yale mamlaka makubwa lakini ni kama bure tu.
Ndio ndoa za ukubwani unaacha wanao wanatangatanga wewe unajichana na bwana mwenye pesa za kifisadi wakati hata kizazi kilishaondolewa.
Nadhan ni kazi moja tu. Kuuza sura!