zhang laoshi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 401
- 469
habari wakuu
kama title inavyosema nataka nijuzwe zaidi ya nguvu ya mila hasa kwa wachaga, mfano huwa wanasema ukifanyiwa wakati ukiwa mdogo au ukiwa unashiriki na baadae kuacha huwa unapata wakati mgumu sn kimaisha na hutoweza kutoboa au ukitaka ivunjwe ni lazima ukoo mzima uridhie na kazi yake si ya kitoto
leo nilikutana na mzee mmoja wa kichaga akaniambia tatizo la vijana wengi wa leo wametupa mila zao hawataki kufanya wanaona zimepitwa na wakati kitu ambacho si kweli wale wazee walikuwa wanafanya kazi kubwa kwa njia wanazoamini wao na walifanikiwa lakini weng wetu baada ya kuja mjini au kuzaliwa huku huwa tunaziacha na huwa zinatutesa sn kwan hakuna unachofanya ukafanikiwa mfano ajira au kibiashara
je ni kweli wapo walioenda kuwaangukia wazee kijijini na wakarudi town na kutoboa?
then wapo ambao walishahisi kupitia wakat mgumu kifamilia, ajira na biashara na tatizo likawa ni mila?
kama title inavyosema nataka nijuzwe zaidi ya nguvu ya mila hasa kwa wachaga, mfano huwa wanasema ukifanyiwa wakati ukiwa mdogo au ukiwa unashiriki na baadae kuacha huwa unapata wakati mgumu sn kimaisha na hutoweza kutoboa au ukitaka ivunjwe ni lazima ukoo mzima uridhie na kazi yake si ya kitoto
leo nilikutana na mzee mmoja wa kichaga akaniambia tatizo la vijana wengi wa leo wametupa mila zao hawataki kufanya wanaona zimepitwa na wakati kitu ambacho si kweli wale wazee walikuwa wanafanya kazi kubwa kwa njia wanazoamini wao na walifanikiwa lakini weng wetu baada ya kuja mjini au kuzaliwa huku huwa tunaziacha na huwa zinatutesa sn kwan hakuna unachofanya ukafanikiwa mfano ajira au kibiashara
je ni kweli wapo walioenda kuwaangukia wazee kijijini na wakarudi town na kutoboa?
then wapo ambao walishahisi kupitia wakat mgumu kifamilia, ajira na biashara na tatizo likawa ni mila?