dadaake
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,115
- 1,084
Waambie kanga yake mwembamba wa wastani, Mimi haikutani kabisa nafunga matenge kanga najitanda nini sasa hiyo
Naima utakua kibongekhanga haikutani,,kumbe mm bado bado kunenepa maana khanga nafunga vzr kabisaa,,,niendelee kula chomachomaaa