Nataka kujua kwanini wanawake wembamba hawajifungi kanga?

Waambie kanga yake mwembamba wa wastani, Mimi haikutani kabisa nafunga matenge kanga najitanda nini sasa hiyo

Naima utakua kibongekhanga haikutani,,kumbe mm bado bado kunenepa maana khanga nafunga vzr kabisaa,,,niendelee kula chomachomaaa
 
Itakuwa unapokaa hawajifungi,huku kwetu sio mnene wala mwembamba wote tunavaa kanga
 
Back
Top Bottom