Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
Wakuu nimetoka kucheki tangazo leo la ajira za Walimu wa Sekondari na Msingi ndo nimeona nilikua sina MB
Msaada nilikua mbali na internet wakuu.. Vyeti bado ila Kuna transcript kwa wazoefu naweza tumia transcript badala ya cheti halisi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada nilikua mbali na internet wakuu.. Vyeti bado ila Kuna transcript kwa wazoefu naweza tumia transcript badala ya cheti halisi?
Sent using Jamii Forums mobile app