Kwa wale wazoefu, nataka kujua bei ya mihogo niuzaje shambani, shamba lipo kibaha, nililima mwezi wa 3 mwaka jana, ile mbegu ya kukaa muda mrefu shambani (ndope). Ni mikubwa na mitamu. Lakini sijajua bei ya soko ikoje sasa hivi, naomba ushauri wenu.
Shukrani!
Shukrani!