kigogo1ivi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 534
- 323
Naona viongozi wetu mjengoni wanaomba huu mmea uharalishwe watu wawe wana piga kama fegi yani hakuna kukamatwa tena si ndio waungwana?
Sasa mimi nataka nianze kuijaribu japo sijajua ya wapi ni nzuri kuanzia maana nasikia wengine wanasema kitu cha Arusha ni noma wengine wanasema cha Mbea si mchezo.
Naimani humu kuna kaka zangu na dada zangu wanapiga hii kitu sasa basi naomba mnishauri mdogo wenu nianze na ipi ili nisije jikuta Italy au Iran maana nasikia wanasemaga ukipiga unaweza jikuta kwa Tramp au unakwepa mashimo kama gari pia nataka ule lile ombi lawaheshimiwa likipokelewa mjengoni na kupitiswa na mimi nisiwe nyuma angalau niwe nishajua
Sent using Jamii Forums mobile app Nawa mikono
Sasa mimi nataka nianze kuijaribu japo sijajua ya wapi ni nzuri kuanzia maana nasikia wengine wanasema kitu cha Arusha ni noma wengine wanasema cha Mbea si mchezo.
Naimani humu kuna kaka zangu na dada zangu wanapiga hii kitu sasa basi naomba mnishauri mdogo wenu nianze na ipi ili nisije jikuta Italy au Iran maana nasikia wanasemaga ukipiga unaweza jikuta kwa Tramp au unakwepa mashimo kama gari pia nataka ule lile ombi lawaheshimiwa likipokelewa mjengoni na kupitiswa na mimi nisiwe nyuma angalau niwe nishajua
Sent using Jamii Forums mobile app Nawa mikono