Nataka kujifunza IT

Samandarojk

Member
Sep 25, 2016
55
23
Natafuta mtu mwenye ujuzi wa it anifundishe, kwani toka kitambo ninahitaji kujua jambo hilo.
Sio kujifunza kwa kwenda chuo bali kwa mtu binafsi
 
IT ni pana sana, ni bora ukatoa maelezo unataka kufundishwa eneo lipi.
Haya ni baadhi tu ya Maeneo
1 . Programming
2. Networking
3. Computer Maintenance and repair
4. Web Development and Graphics design
5. IT security
6. IT Auditing
7. Databases
8. Cloud Computing and Virtualization
9. Artificial Intelligence
10. Basic Computer Applications ( e.g Microsoft Office)
 
1.programming
4.web development and graphics
5. It security
9. Artificial intelligence.
Lakin hizo mbili za kwako ndizo ninazohitaji sana kuzijua kwa sasa
 
IT ni pana sana, ni bora ukatoa maelezo unataka kufundishwa eneo lipi.
Haya ni baadhi tu ya Maeneo
1 . Programming
2. Networking
3. Computer Maintenance and repair
4. Web Development and Graphics design
5. IT security
6. IT Auditing
7. Databases
8. Cloud Computing and Virtualization
9. Artificial Intelligence
10. Basic Computer Applications ( e.g Microsoft Office)
Umenipata?
 
Yes nimekupata mkuu, naamini watakuja wataalmu wazuri tu kukupa maelezo ya kina kwenye hayo maeneo. Be blessed katika safari yako
 
katika IT unataka kujua kitu gani hasa? maelezo yako general sana ni sawa useme mimi nataka kuwa rais watu watakuuliza rais wa nchi, WCB, yanga au simba?
Jikite kwenye sehemu ambayo unataka kusoma ili watu watoe michango yao.
 
1.programming
4.web development and graphics
5. It security
9. Artificial intelligence.
Lakin hizo mbili za kwako ndizo ninazohitaji sana kuzijua kwa sasa
Programming inagawanyika, lakini kwa mujibu wa kozi ambazo umeziweka hapo c++ inafaa kuanza nayo then java kwa ajili android apps development. Maslahi yako ww yakoje?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom