Samandarojk
Member
- Sep 25, 2016
- 55
- 23
Natafuta mtu mwenye ujuzi wa it anifundishe, kwani toka kitambo ninahitaji kujua jambo hilo.
Sio kujifunza kwa kwenda chuo bali kwa mtu binafsi
Sio kujifunza kwa kwenda chuo bali kwa mtu binafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo PM kama uko seriousNatafuta mtu mwenye ujuzi wa it anifundishe, kwani toka kitambo ninahitaji kujua jambo hilo.
Sio kujifunza kwa kwenda chuo bali kwa mtu binafsi
Umenipata?IT ni pana sana, ni bora ukatoa maelezo unataka kufundishwa eneo lipi.
Haya ni baadhi tu ya Maeneo
1 . Programming
2. Networking
3. Computer Maintenance and repair
4. Web Development and Graphics design
5. IT security
6. IT Auditing
7. Databases
8. Cloud Computing and Virtualization
9. Artificial Intelligence
10. Basic Computer Applications ( e.g Microsoft Office)
Iko pale mwenge kama unaelekea ununio njia ya kwenda posta. . Ukivuka barabara upande wa kushoto Kuna maisha club nyuma yake uwanja wa Taifa.... ulizia tandale basi umefikaIko wapi hiyo pm
wee jamaa mungu anakuona hak vileIko pale mwenge kama unaelekea ununio njia ya kwenda posta. . Ukivuka barabara upande wa kushoto Kuna maisha club nyuma yake uwanja wa Taifa.... ulizia tandale basi umefika
Programming inagawanyika, lakini kwa mujibu wa kozi ambazo umeziweka hapo c++ inafaa kuanza nayo then java kwa ajili android apps development. Maslahi yako ww yakoje?1.programming
4.web development and graphics
5. It security
9. Artificial intelligence.
Lakin hizo mbili za kwako ndizo ninazohitaji sana kuzijua kwa sasa
Iko pale mwenge kama unaelekea ununio njia ya kwenda posta. . Ukivuka barabara upande wa kushoto Kuna maisha club nyuma yake uwanja wa Taifa.... ulizia tandale basi umefika
Iko wapi hiyo pm