Nataka kujaza body nitumie powder ipo inanifaa

Sili kisa natengeneza body, kwanza nina uzito mdogo sana BMI yangu nadhani inapungua moja kuwa wastani hivo mara nyingi huwa nachezea kuwa underweight. Ni kwamba sina uwezo wa kula milo mitatu au miwili kwa siku. Ilinishinda hata nikilazimisha
Daah mkuu pole sana, mlo mmoja kwa Siku na upoComfortable kabisa ama?
 
Daah mkuu pole sana, mlo mmoja kwa Siku na upoComfortable kabisa ama?
Mazoea tu ya shuleni wala sio ugonjwa. Tangu niko form four huwa sili chakula kingi, kuna mazoea flani mtu ukiyatengeneza inakuwa tabia na unashindwa kuachana nayo.

Brother wangu alikuwa hivi, akiwa anasoma akiletewa chakula kama saa mbili anaweka pembeni kisha anasahau kama kuna chakula analala na kesho anaendelea na shughuli zake. Baadae alianza mazoezi sahivi anakula huyo balaa, mimi mazoezi mzembe.
 
Habari za jion wakuu nataka kuongeza uzito kidogo na mwili maana ni mwembamba sana tena upande wa mikono nina kilo 65 msaada wenu supploment ipi nzuri kwa kuongeza body maana kama msosi napiga sana lakini wapi

Msaada wenu hapo wakuu
Uzito ukusaidie nini?
Unajua madhala ya kuwa na uzito mkubwa?

Kama post yako ni ya vichekesho basi ongeza kula, utaongezeka uzito na pia utaongeza hatari ya kupata magonjwa ya moyo, kisukari na presha
 
Mazoea tu ya shuleni wala sio ugonjwa. Tangu niko form four huwa sili chakula kingi, kuna mazoea flani mtu ukiyatengeneza inakuwa tabia na unashindwa kuachana nayo.

Brother wangu alikuwa hivi, akiwa anasoma akiletewa chakula kama saa mbili anaweka pembeni kisha anasahau kama kuna chakula analala na kesho anaendelea na shughuli zake. Baadae alianza mazoezi sahivi anakula huyo balaa, mimi mazoezi mzembe.
Okay, sema pendelea kula kidogo ila iwe mara nyingi kwa Siku.
 
Mbona easy ssna

Nilikuwa na 65 hivi saivi ninagonga 82 hivi


Nakunywa Sana supu na chapati yaani mfululizo

Ugali dagaa,wali nyama na samaki na mbogamboga .

Mazoezi yangu push ups na kukimbia .

Nimenenepa Sana Hadi najishtukia

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Haka kk hata mimi ningezid hiyo maana kila day ni ugali nyama wali nyama dagaa asubuh supu chapat sometime mihogo ko sijajua kama mwili ndo mgumu kujaa au huu urefu wa futi 6 kasoro
 
Habari za jion wakuu nataka kuongeza uzito kidogo na mwili maana ni mwembamba sana tena upande wa mikono nina kilo 65 msaada wenu supploment ipi nzuri kwa kuongeza body maana kama msosi napiga sana lakini wapi

Msaada wenu hapo wakuu
Hupigi sana msosi mkuu, huo ndio ukweli. Kwa maneno yako kwenye comment nimeona umesema unakula mara moja kwa siku. Sasa hiyo haitoshi kukufanya ujaze mwili. Pia, kutumia tu poda bila kunyanyua chuma ni kazi bure, utakuwa mnene kitambi n.k.
 
Hupigi sana msosi mkuu, huo ndio ukweli. Kwa maneno yako kwenye comment nimeona umesema unakula mara moja kwa siku. Sasa hiyo haitoshi kukufanya ujaze mwili. Pia, kutumia tu poda bila kunyanyua chuma ni kazi bure, utakuwa mnene kitambi n.k.
Hamna mzee hiyo post ya mtu mwingine kwa siku nakura mara matatu either mara nne
 
Hamna mzee hiyo post ya mtu mwingine kwa siku nakura mara matatu either mara nne
Ok Nimekupata mkuu. Mimi pia ni mwembamba mikono ilikua skinny mbaya na sikua kabisa na paja, kama Dogo Janja angekua mrefu basi ndo mimi. Mwaka 2019 nikaanza kwenda gym, sahivi nimejaa jaa tofauti sana na zamani, paja lipo kifua, chest na mikono.

Kitu cha msingi nilichofanya ni niliongeza ulaji, nakula menyu nzito na protini ya kutosha. Niliwahi kutumia poda kwa mwezi mmoja ya WHEY PROTEIN ila kampuni siikumbuki. Cha msingi kama unaweza kupata protini kwenye chakula hakuna haja ya kununua poda.

Msisitizo poda bila gym inakua haina haja.
 
Doh....dunia ina mambo mengi kumbe.

Ila nyie mnaohangaika na haya mambo mtakuwa watoto wa kishua mixa mmeachiwa majumba ya urithi hapo dar.
 
Habari za jion wakuu nataka kuongeza uzito kidogo na mwili maana ni mwembamba sana tena upande wa mikono nina kilo 65 msaada wenu supploment ipi nzuri kwa kuongeza body maana kama msosi napiga sana lakini wapi.

Msaada wenu hapo wakuu.

Ukitumia hayo mavitu body litajaa kama kawaida ila nguvu za kiume zitayeyuka kwa kasi ya 5G, ndio maana mabaunsa wengi wanapumuliwa kisogoni
 
Back
Top Bottom