Richmoto Kushmoto
JF-Expert Member
- Jan 18, 2021
- 549
- 557
- Thread starter
- #21
Bei gan hiiLakini kwa ushauri tumia hii... Ni nzuri hata kwa bei piaView attachment 1786242
Bei gan hiiLakini kwa ushauri tumia hii... Ni nzuri hata kwa bei piaView attachment 1786242
Side effects vip mkuu?
Hii haina ama ni kwa kiwango cha chini sanaSide effects vip mkuu?
Bei hiyo ni bila usafiri na ushuru..na ni bei za jumlaBei gan hii
Nadhani tatizo lipo hapo, ila kama yupo serious zile nyuzi bado zipo.Hawa members wapya wanauliza kila kitu huwezi jua kipi yupo serious nacho na kipi anatania.
Mods wamezifutaNadhani tatizo lipo hapo, ila kama yupo serious zile nyuzi bado zipo.
Hapana, I eat everything, maji mengi na sikai na njaa. Japo ka kitambi kapo kwa mbali. Lengo langu ilikua kuongeza mwili.Ulikula supplements mkuu, au msos na mazoez tu?
Me sikushauri utumie ayo mavitu yote,sijui poda, Creatine, au whey protein, me wakati nafanya mazoezi nilikuwa natumia ayo, ila yalikuja kuniletea madhala kwenye figo, nilipata Kidney stone (mawe kwenye figo,Habari za jion wakuu nataka kuongeza uzito kidogo na mwili maana ni mwembamba sana tena upande wa mikono nina kilo 65 msaada wenu supploment ipi nzuri kwa kuongeza body maana kama msosi napiga sana lakini wapi
Msaada wenu hapo wakuu
Inabid tudadisi tujiridhishe tusije kujikuta tuna mazegembe kama bashite😄Swali zuri sana hilo Mkuu.
Mzee unajitesa bure yani hela utafte kwa shida alafu kula ujibane mwishowe uwe na vidonda vya tumbo et kisa unatengeneza body mwajuma akusifie?Una 65kg unalalamika. Mimi nina 58 maybe sasa 59 na nimetulia kabisa. Gym nililipia nikaenda wiki moja, nikalipia tena nikaenda wiki moja. Kula ni mlo mmoja daily kwa miaka minne sasa, nikila mchana usiku siisi njaa hivo inabidi nile usiku zaidi. Kuongeza uzito kwa kula na mazoezi nimeshindwa ngoja nisome hizi supplements.
Wenzako wanahaha kupunguza uzito wewe unataka kuongeza? Duuh!Habari za jion wakuu nataka kuongeza uzito kidogo na mwili maana ni mwembamba sana tena upande wa mikono nina kilo 65 msaada wenu supploment ipi nzuri kwa kuongeza body maana kama msosi napiga sana lakini wapi
Msaada wenu hapo wakuu
"Unene haujawahi kumpendeza mtu yeyote" alisikika kijana mmoja.Habari za jion wakuu nataka kuongeza uzito kidogo na mwili maana ni mwembamba sana tena upande wa mikono nina kilo 65 msaada wenu supploment ipi nzuri kwa kuongeza body maana kama msosi napiga sana lakini wapi
Msaada wenu hapo wakuu
Bhasi punguza roho mbaya.Hela ninazo mbona
😂😂😂Bhasi punguza roho mbaya.
Sili kisa natengeneza body, kwanza nina uzito mdogo sana BMI yangu nadhani inapungua moja kuwa wastani hivo mara nyingi huwa nachezea kuwa underweight. Ni kwamba sina uwezo wa kula milo mitatu au miwili kwa siku. Ilinishinda hata nikilazimishaMzee unajitesa bure yani hela utafte kwa shida alafu kula ujibane mwishowe uwe na vidonda vya tumbo et kisa unatengeneza body mwajuma akusifie?
Ni kitu ambacho hakiwezekani lazima jasho langu nililipie kwa kupiga msosi wa maana, ata mwili uwe kama wa ngo'mbe ata sijali mana imeandikwa mbiguni tutapewa mwili mpya