Nataka kujaza body nitumie powder ipo inanifaa

Nnaowajua wanatumia wheiy protein, ila nadhani ni vizuri upige mazoezi sana lakini zingatia msosi sana sababu mazoezi ni asilimia 30 na msosi ni 70. Binafsi nili shoot from 65 to 80 kwa kula sana na mazoezi kiasi, motivation ilikua uzi wa Castr ambao ni wa zamani kidogo.
 
Nnaowajua wanatumia wheiy protein, ila nadhani ni vizuri upige mazoezi sana lakini zingatia msosi sana sababu mazoezi ni asilimia 30 na msosi ni 70. Binafsi nili shoot from 65 to 80 kwa kula sana na mazoezi kiasi, motivation ilikua uzi wa Castr ambao ni wa zamani kidogo.
Hawa members wapya wanauliza kila kitu huwezi jua kipi yupo serious nacho na kipi anatania.
 
Una 65kg unalalamika. Mimi nina 58 maybe sasa 59 na nimetulia kabisa. Gym nililipia nikaenda wiki moja, nikalipia tena nikaenda wiki moja. Kula ni mlo mmoja daily kwa miaka minne sasa, nikila mchana usiku siisi njaa hivo inabidi nile usiku zaidi. Kuongeza uzito kwa kula na mazoezi nimeshindwa ngoja nisome hizi supplements.
 
Habari za jion wakuu nataka kuongeza uzito kidogo na mwili maana ni mwembamba sana tena upande wa mikono nina kilo 65 msaada wenu supploment ipi nzuri kwa kuongeza body maana kama msosi napiga sana lakini wapi

Msaada wenu hapo wakuu
1621097030152.jpg
1621097000084.jpg
1621096992991.jpg
 
Ulikula supplements mkuu, au msos na mazoez tu?
Nnaowajua wanatumia wheiy protein, ila nadhani ni vizuri upige mazoezi sana lakini zingatia msosi sana sababu mazoezi ni asilimia 30 na msosi ni 70. Binafsi nili shoot from 65 to 80 kwa kula sana na mazoezi kiasi, motivation ilikua uzi wa Castr ambao ni wa zamani kidogo.
 
Una 65kg unalalamika. Mimi nina 58 maybe sasa 59 na nimetulia kabisa. Gym nililipia nikaenda wiki moja, nikalipia tena nikaenda wiki moja. Kula ni mlo mmoja daily kwa miaka minne sasa, nikila mchana usiku siisi njaa hivo inabidi nile usiku zaidi. Kuongeza uzito kwa kula na mazoezi nimeshindwa ngoja nisome hizi supplements.
Doh tatizo mikono membamba mzee yaan kuanzia kwenye kiwiliwili fresh ila paja nimejitaidi kulikata balaa
 
Back
Top Bottom