rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
- Thread starter
- #21
Watu wa aina ya mtoa thread hii wako wengi na hao ndiyo chanzo cha vurugu tunazoziona. Ni kama majeshi ya kukodiwa ambayo hayajui master wao ni nani. Haya ya Igunga na kwingineko ni matokeo ya kuwa na watu ambao ni blind. Kwa ujumla ukitaka kuijua CDM angalia yanayotokea Igunga, yaliyotokea Arusha na kwingineko
wee kaa chini tulia andika tena hii comment,usifiche chochote kuwa wazi mkuu,mbona mimi nimekuwa wazi???