Nataka kuifungulia mashtaka hospitali kwa kusababisha kifo cha mtoto

Kuna tetesi kuwa hizo hospital zinazoaminiwa kwa sasa nyingi hazina waganga wenye uwezo. Swala la mgonjwa anaumwa hiki anatibiwa kingine imekuwa ni kawaida mno kwa sasa. Wabobezi wanakimbilia Botswana, Zimbabwe nk.
 
Nahisi uzembe ndiyo uliosanabisha kifo, nianzie wapi wadau?
Ilikua hivi...
Ni mtoto mdogo wa miezi miwili, tulimfikisha hospitali kubwa tu na yenye jina akiwa anasumbuliwa na tatizo la tumbo. Tulimfikisha hapo baada ya kupata rufaa kutoka hospitali ingine. Tulifanya vipimo vyote kama tulivyoambiwa tufanye , bt maamuz yanini kifanyike kutokana na majibu ya hvyo vipimo yalichelewa hali ikazidi kuwa mbaya mpaka mtoto akafariki na alifariki baada ya siku tano toka amefikishwa hospitali.
Jaribu uone ujiandae kusema mtoto alikuwa anaumwa nn
Ujiandae kulipa professional defirmation.
Safari njema
 
Jaribu uone ujiandae kusema mtoto alikuwa anaumwa nn
Ujiandae kulipa professional defirmation.
Safari njema
Vitisho hvi ndivyo vinafanya watu waendelee kuumia na vinaendelea kuwapa kiburi watoa huduma coz wanajua ata akifa kwa malpractice zao hakuna atakaye washtaki
 
Nakushauri UACHANE KABISA NA HILO WAZO WALAHI
pole sana kwa kufiwa lakini nakuona utamaliza pesa zako zote kwa mawakili ambao baadae watanunuliwa na mawakili wa hiyo hospitali, ndugu yangu nakushauri uachane kabisa na mahakama walahi
pole sana sana kwa pigo la uchungu mwingi kuliko yote duniani walahi
Maana mtoto ndio amzike mzazi na sio kinyume chake walahi!
 
Nakushauri UACHANE KABISA NA HILO WAZO WALAHI
pole sana kwa kufiwa lakini nakuona utamaliza pesa zako zote kwa mawakili ambao baadae watanunuliwa na mawakili wa hiyo hospitali, ndugu yangu nakushauri uachane kabisa na mahakama walahi
pole sana sana kwa pigo la uchungu mwingi kuliko yote duniani walahi
Maana mtoto ndio amzike mzazi na sio kinyume chake walahi!
 
Vitisho hvi ndivyo vinafanya watu waendelee kuumia na vinaendelea kuwapa kiburi watoa huduma coz wanajua ata akifa kwa malpractice zao hakuna atakaye washtaki
Kwan atalipwa mtoto.? Namshauri tu ajue kulenga na kulegwa kupo
 
Nakushauri UACHANE KABISA NA HILO WAZO WALAHI
pole sana kwa kufiwa lakini nakuona utamaliza pesa zako zote kwa mawakili ambao baadae watanunuliwa na mawakili wa hiyo hospitali, ndugu yangu nakushauri uachane kabisa na mahakama walahi
pole sana sana kwa pigo la uchungu mwingi kuliko yote duniani walahi
Maana mtoto ndio amzike mzazi na sio kinyume chake walahi!


Whatever you smoke, please stop it! Yaani wewe ndio wa kutoa huu ushauri? Seriously?!

Yaani unamkatisha mtu tamaa ya kutafuta haki yake ( kama ipo) eti kisa rushwa itatembea? Kwahiyo maybe kama kweli kuna uzembe ulifanyika uliopelekea mauti ya mtoto husifuatiliwe na muhusika/wahusika kuwajibishwa simply because kuna rushwa yaweza tembea?! Umeudhalilisha uKADA wako wallaih!
 
siku tano hamjapata majibu mumebung'aa tu labda mazuzu! mie ujinga huo sina! nlishawah kumtoa mtoto wa rafki yangu Lugalo hospital kwa kuchelewa kupata huduma kwa siku mbili wakati wa JK!
nikampeleka mahali kungine akapata vipimo na matibabu sku hiyo hiyo! angekufa pale khaaa
Siku tano walikua wanazunguka zunguka tu.. Mara waje wamzunguke mgonjwa wanadiscus wanasepa.. Kulikua hakuna walichokuwa wanafanya zaidi ya kumuwekea dripu na antibiotics..mpaka siku anafariki walikua wanabishana kipi kifanyike
 
Nahisi uzembe ndiyo uliosanabisha kifo, nianzie wapi wadau?
Ilikua hivi...
Ni mtoto mdogo wa miezi miwili, tulimfikisha hospitali kubwa tu na yenye jina akiwa anasumbuliwa na tatizo la tumbo. Tulimfikisha hapo baada ya kupata rufaa kutoka hospitali ingine. Tulifanya vipimo vyote kama tulivyoambiwa tufanye , bt maamuz yanini kifanyike kutokana na majibu ya hvyo vipimo yalichelewa hali ikazidi kuwa mbaya mpaka mtoto akafariki na alifariki baada ya siku tano toka amefikishwa hospitali.
Siku Tanooo. Poleni sana jamani ikla nanyi ni wavumilivu jamani ooh no poleni mno? Nini kiklichelewesha kwa karne ya leo? Na hiyo nadhani ilikuwa emergency. Oh no
 
Jaribu uone ujiandae kusema mtoto alikuwa anaumwa nn
Ujiandae kulipa professional defirmation.
Safari njema


Eeh!! Are you for real?! Mnaturudisha Enzi za ""jaribu uone! Unajua mimi ni nani?!""
Eti ajiandae kulipa professional defirmation !! So basically ushasikiliza kesi tayari umehukumu na sasa umetoa na maamuzi?! What if akiwashinda na wakaonekana kweli uzembe ulifanyika na akatakiwa kulipwa what will you vomit then?!
 
Siku Tanooo. Poleni sana jamani ikla nanyi ni wavumilivu jamani ooh no poleni mno? Nini kiklichelewesha kwa karne ya leo? Na hiyo nadhani ilikuwa emergency. Oh no
Ilikua ni emmergence.. Tusingeweza mtoa mtoto hospitali tulijaeribu kuwapigia simu baadhi ya madaktari wengine waliitikia wito wengine walikuwa busy.. Shida ingine madaktari walikuwa wanakuja bt cha kushangaza wanasema tumsubiri daktari mwingine ndo aje atoe uamjzi.. Sijui walikuwa wanafunzi wale.
 
Back
Top Bottom