Eliud Bunju
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 342
- 625
Mimi ni mzaliwa wa mjini Dar es Salaam lakini makuzi yangu yote ni kijijini badae nikarudi tena Dar baada ya kumaliza shule.
Nimeoa nina miezi 5 katika ndoa mke wangu ni mtu wa mkoa ninao toka mimi namaanisha Mbeya green city.
Mimi Nimuajiliwa serikalini kabla sijaoa nilikua nahamu sana ya kufanya kazi Mbeya haswa Tukuyu mjini ama Tunduma namaanisha wilaya yoyote sio Mbeya mjini ama Songwe mjini
Sasa hivi naishi Bagamoyo lakini kiukweli mji wa Bagamoyo unawatu wachache na umepoa sana pia heshima ya huyu mke wa mtu haipo hapa.
Pia suala la fedha biashara ni ngumu sana hapa maana watu wake ni wavivu kupita maelezo duka linafunguliwa saa 3 ni jambo la kawaida kwao.
Sababu za kuhamia Mbeya
- Kwanza napapenda sana
- Pili maisha yako chini sana
- Tatu hakuna kitu ambacho huwezi fanya kama bichi zipo Kyela
- Nne watu wake wapo active muda wote ni watu wa biashara na kupenda elimu sana
- Tano ninandoto ya kusoma mambo ya kilimo nadhan itakua vizuri nikisoma Mbeya chuo tayari nimekiona mfano wilaya ya Rungwe Tukuyu kipo.
- Mke wangu pia ananitia moyo hata kesho yupo tayari siwazi mengine maana nilimtoa bikira mwenyewe
- Ninahisi ni sehemu sahihi kwangu maana kilimo chake n chepesi sana na ninapenda sana kilimo
- Hali ya hewa ni tamu sana Tukuyu
- Ni mkoa ambao kuna neema ya chakula sana na watu wake ni wakarimu
- Napapenda Tukuyu kuliko sehemu yoyote Tanzania.
- Viwanja vinapatkana kwa bei nzuri tu
.Naomba ushauri wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeoa nina miezi 5 katika ndoa mke wangu ni mtu wa mkoa ninao toka mimi namaanisha Mbeya green city.
Mimi Nimuajiliwa serikalini kabla sijaoa nilikua nahamu sana ya kufanya kazi Mbeya haswa Tukuyu mjini ama Tunduma namaanisha wilaya yoyote sio Mbeya mjini ama Songwe mjini
Sasa hivi naishi Bagamoyo lakini kiukweli mji wa Bagamoyo unawatu wachache na umepoa sana pia heshima ya huyu mke wa mtu haipo hapa.
Pia suala la fedha biashara ni ngumu sana hapa maana watu wake ni wavivu kupita maelezo duka linafunguliwa saa 3 ni jambo la kawaida kwao.
Sababu za kuhamia Mbeya
- Kwanza napapenda sana
- Pili maisha yako chini sana
- Tatu hakuna kitu ambacho huwezi fanya kama bichi zipo Kyela
- Nne watu wake wapo active muda wote ni watu wa biashara na kupenda elimu sana
- Tano ninandoto ya kusoma mambo ya kilimo nadhan itakua vizuri nikisoma Mbeya chuo tayari nimekiona mfano wilaya ya Rungwe Tukuyu kipo.
- Mke wangu pia ananitia moyo hata kesho yupo tayari siwazi mengine maana nilimtoa bikira mwenyewe
- Ninahisi ni sehemu sahihi kwangu maana kilimo chake n chepesi sana na ninapenda sana kilimo
- Hali ya hewa ni tamu sana Tukuyu
- Ni mkoa ambao kuna neema ya chakula sana na watu wake ni wakarimu
- Napapenda Tukuyu kuliko sehemu yoyote Tanzania.
- Viwanja vinapatkana kwa bei nzuri tu
.Naomba ushauri wako.
Sent using Jamii Forums mobile app