Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,572
- 4,585
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si uliambiwa uhamie burundi, imekuwaje tena kenya😂😂😂!Habari wakuu
Nataka kuhamia Nairobi, Kenya kwa hivyo yeyote mwenye uzoefu na jiji hili anipe abc ikiwemo maisha yapoje, mtaa gani mzuri kuishi Kodi ya nyumba, biashara gani nzuri za kufanya ..
Karibuni
choice matters mkuu ..
Take care wa-Kenya hawana ujamaaSijakuelewa mkuu ..
Yeah but rent ni very expensiveLang’ata Estate ni sehemu posh
Kenya kwa standard life ya bachelor, jiandae US$100-200 kwa mwezi hii ni kodi tuYeah but rent ni very expensive
Ila akiwa vizuri sio mbaya akaenda kuishi kule.
Huwezi kulipua unapoishi ni uongo nimeishi hapo ISILII,Islilii si ndio kuna watu wanaompigania , ambao mabomu ni kama vitenesi wazee wa liplip
Hiyo ni lakiElfu 5 hii ya Bongo? Ama ndo kubadili kwa fedha za KES na kuwa Laki moja???
Utabipata Kibera ambako choo ni cha community yaani mtaa mzima.Duh, inamaana vyumba vyetu vya 30000 kwa mwezi ndo hamna kabisa ..
Sehemu ya kuishi huko pazuri ni kawangware.hamna mkuu ni kutaka tu kubadilisha mazingira ..
Hamnaga fursa huko,wengi wanakimbilia huku tz,huko kwenu ataishia kuwa baba mboga tu.Aje tu kama Bongo hapakaliki, japo hajatoa maelezo ya kutosha, kwamba bajeti yake shilingi ngapi, maana huku inategemea una hela kiasi gani na umejiandaa kufanya nini, fursa zipo kibao, bidii yako tu.